Salaam

Salaam

pepopunda

Member
Joined
Sep 16, 2013
Posts
13
Reaction score
7
Wana jamvi naomba kuungana nanyi katika kujadili mambo mtambuka yanayoihusu jamii ja Watanzania.Nilikuwa ughaibuni kwa muda mrefu na nimekuwa nasoma nyuzi zenu lakini sikuweza kuchangia kwa kutokuwa na taarifa za kutosha na sikutaka kuwa mchangiaji mwenye upeo hafifu.Sasa niko nyumbani na nitashiriki kikamilifu kutoa michango yenye tija.
 
Karibu sana kwenye jukwaa la watu makini na jitahidi kutumia exposure uliyoipata na kichwa katika uchangiaji wako sio ma.........ri kama baadhi ya wapotoshaji humu!
 
Karibu sana jamvini tunategemea kupata mengi kutoka kwako.
 
Karibu sana ila sheria ni kama Tai-iwe mbele kwa kila jukwaa,usilete lugha za kwenye Facebook
"Vox popoli vox dei"
 
Back
Top Bottom