Salam zangu kwenu

Akilimali2001

Member
Joined
May 11, 2012
Posts
17
Reaction score
0
Wana Jf. Natumai wote mwenyezi uzima kawajalia. Napendezwa na blog hii ya kijanja na ndo nimejiunga rasmi ila tatizo ni baadhi ya lugha zinazo chefua kutoka kwa baadhi ya watu ila naamini watajirekebisha soon. Asanteni na tuzidi kuangaza upeo kupitia bog hii.
 
Hii sio Blog ni Forum...........
Karibu sana jamvini.
 

Karibu Mkuu Akilimali. Hapa hakuna ujanja, ni ukweli mtupu. Ukileta ujanja tunakupiga ban.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…