Salama Jabir is back in business on tv..yoo

Greater thinker

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2011
Posts
286
Reaction score
38
mwanadada msela ambaye ana miaka takriban 15 hajawahi kuvaa sketi na ambaye altksa sana 2000's na show yake ya planet bongo on ea.tv & radio na baadae kutoweka na kwnda uingereza kuongeza elimu yake na kumwachia kpnd chake abdallah hamis ambua..
Pia mwanadada huyo anatesa sana kwa u-judge makn ktk shndano la bss,sasa hv ameamua kurud kuwa mtangazaj ndan ya e.a tv na show itakayoitwa mkasi tv ambayo itaanza kurushwa cku ya juma3 ya tar 14..
Show hyo itakuwa kila siku ya juma 3 saa tatu na nusu usiku...yoo
 
I hope ujuzi na umakini utakuwa umeongezeka.Tunataka mabadiliko katika nyanja nzima ya Media.well come back.
 
mkasi?? Kitahusu nini hicho kipindi?
 
mkasi si ni ma thu si hayo,
kweli bongo kuna mambo.
 
Apunguze kujifanya anajua kila kitu kama kibonde mwenzie!
 
karibu tena "malkia" remember? E.A Late night on those days!
 
Kipindi kitaitwa Mkasi? au MIKASI :A S embarassed:
 
Ayaaaaa !mnatuletea tena huyu mvuta bangi ! na hizo sketi akivaa si atachekesha huyo ! manake na emagine hiyo miguu nazani ni kama fito !
 
Mpelekeni kwanza kwa dokta kapiteni yule Mkongomani pale TMJ akamshughulike manake anapenda design hizo
 
Promo!!?? peleka facebuk mkuu!!
 

wacha uongo wewe Tuko na Musa Oneplus communication.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…