Jamani Tumsaidie huwa Ni msomaji mzuri Wa JF..Aje ajibu yeyee Ni Bingwa Wa kuwauliza wenzake ivyoo Na kuwalaumu jju..kuna siku nimekutana nae Mlimani City sijui ndo msella wake yule ana vipi..Mtoto Wa kikee kama Dumeee!!!Salama my Friend Don't Behave that way..Suluali unaishsha makalioni halafu mtoto Wa Kiislam..unafundisha nini wadogo zetuuu..au una maana Gani..mbona wakati unatangaza East Africa Radio ilikuwaa MTU safi Na pia ulikuwa ulisema unapenda sana mpenzi wakoo wakati huo..Who changed your.mind.my dear..Ama wavuta ??please kama wapo washauri wake wamuweke sawa..Ni Dada yetu.tunampenda tungependa nae One Day Apakate Mwaka..Sio yy kumshangaa Mwema Sepetu Ili hali nae Ni kwamba walewale