Mkuu hiyo avatar ndio wewe,hiyo style ya kuangalia nimeipendaHata mimi Salama huwa ananishangaza sana.
Lakini mwisho wa siku ndiyo maisha aliyojichagulia,hata sisi tuna maisha yetu tuliyojichagulia.
Huenda nae anatushangaa kama tunavyomshangaa.
LebismUleby ndo nini mkuu??
Pole kiongozi bet jioni.Nimeliwa
Anasubiri mayai yakutaneNi kawaida saana Kwenye kipindi chache akiwauliza Wasanii au watu maarufu Maswali hayya..Utaona link...mbona huna Mtoto..Na akijibiwa kinyumee Anashangaa As if yeye ametimiza hivyo Na umri una kwenda.salama Jabir Star wetu Unaolewa linii..Kujaa hapa kujibu.
kwa nini usimuoe wewe au hujiamini..au machine haiendi angleNi kawaida saana Kwenye kipindi chache akiwauliza Wasanii au watu maarufu Maswali hayya..Utaona link...mbona huna Mtoto..Na akijibiwa kinyumee Anashangaa As if yeye ametimiza hivyo Na umri una kwenda.salama Jabir Star wetu Unaolewa linii..Kujaa hapa kujibu.
Mbona Salama Ana mtoto kwao Zenji!!?Siyo lazima kila mwanamke kuwa na mtoto acheni kukariri!! Wengi wenu mmeiga tamaduni za wazungu kuanzia lugha mavazi and so on mbona mnashindwa kuiga na hili?????
Acha bana, mwambie amsalimie jechaMbona Salama Ana mtoto kwao Zenji!!?
Na nyie wanaume wa mikoani si muende kwenye jukwaa lenu la kilimo?Wanaume wa Dar washaanza. Ati Salama anaolewa lini? Mmmh!
hana big bootyHebu mwacheni mke wangu
Kaka mke unae!Hebu mwacheni mke wangu
Shuzi limepata mjambaji
Kaka mke unae!
Hata archmedes principal ina exceptionshana big booty