Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Haoleki.Wanaume wa Dar wameshindwa kumuoa huyu mama
Sio kushindwa kuoa tatizo tabia zake ndo zinatisha za kujifanya kama mwanaume..Wanaume wa Dar wameshindwa kumuoa huyu mama
Akimpata kidume amkunje sawasawa atakubali kuwa yeye ni wa kike. AY si ameoa engineer wa ki NyarwandaSio kushindwa kuoa tatizo tabia zake ndo zinatisha za kujifanya kama mwanaume..
Hivi ile tetesi ya kutoka na A..Y iliishiaga wapi
Nadhani ndo kilichochangia kumchosha au muba kashafanya yake[emoji13] [emoji13]Akimpata kidume amkunje sawasawa atakubali kuwa yeye ni wa kike. AY si ameoa engineer wa ki Nyaranda.
Siku yake ikifika "ataolewa" tu, maana hiyo ndiyo ndoto ya 99.99% ya wanawake hapa duniani.Wanaume wa Dar wameshindwa kumuoa huyu mama
Hivi huko dàr hakuna mwanaume wa kumtulizeYule presenter maarufu na mwananadada gang,Salama J amezua gumzo mitandaoni baada ya kupost picha ambazo zinaonekana kuwa amechoka,kubwa kabisa ni pale anapoonekana kama busta ya kutaka kifua kionekane saa sita imegoma kabisa......hii mitandao ya kijamii sasa inatuchosha mana kila siku kunazuka jipya!!View attachment 809741
Sky kwani lazima utaje profession yake? Eti engineer wa kinyaranda wabongo bwana hahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Akimpata kidume amkunje sawasawa atakubali kuwa yeye ni wa kike. AY si ameoa engineer wa ki Nyaranda.
Na mwanamme ni mwanaume tu, that’s all!mwanamke ni mwanamke tu, period.
Ahh si kila mtu anaweza kuwa na title ya engineer bwanaSky kwani lazima utaje profession yake? Eti engineer wa kinyaranda wabongo bwana hahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukaona umalizie kabisa wa kinyaranda hahaaAs si kila mtu anaweza kuwa na title ya engineer bwana
Nasikia alishazaaga hivi eti ni kweliSiku yake ikifika "ataolewa" tu, maana hiyo ndiyo ndoto ya 99.99% ya wanawake hapa duniani.
Kwakweli hilo sijui mkuu, labda tumuulize Sky EclatNasikia alishazaaga hivi eti ni kweli