Salama Jabiri kwisha kabiisaa

Madimba jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
1,577
Reaction score
3,146
Yule presenter maarufu na mwananadada gang,Salama J amezua gumzo mitandaoni baada ya kupost picha ambazo zinaonekana kuwa amechoka,kubwa kabisa ni pale anapoonekana kama busta ya kutaka kifua kionekane saa sita imegoma kabisa......hii mitandao ya kijamii sasa inatuchosha mana kila siku kunazuka jipya!!
 
Hivi huko dàr hakuna mwanaume wa kumtulize
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…