Salama toka kwa Mpwa YoYo

Salama toka kwa Mpwa YoYo

Tumsifu Samwel

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2007
Posts
1,407
Reaction score
161
View attachment 10188

Hivi karibuni nilikuwa mkoani Mbeya kikazi, katika tembea tembea nilifanikiwa kukutana na rafiki yangu wa utotoni Bw.YoYo nilifurahia sana kwa jinsi alivyobadilika na kuamua kujiajiri mwenyewe anaendeleza sera ya (kilimo kwanza).

Aliniambia toka alipojiajiri mwenyewe amepata mafanikio makubwa sana ikiwemo kupiga nyumba yake bati na kufuga mbuzi n'k, mwishoe tuliishia kwenye club ya pombe kupata Kimpumu.

Anawasalimu sana hasa Masanilo,Fidel80,FL1,Shishi.
 
Dah mpe hi mpwa Yo Yo angekuwepo naona Boflo angepata cha moto.
 
Back
Top Bottom