Wajameni, babie machachari na mwenye muonekano wa aina yake na host wa kipindi ngazi kwa ngazi yuko wapi tena.
Huyu alikuwa host wa kipindi cha mkasi na baadae kuwa ngazi kwa ngazi katika television ya EATV. Salama Jabiri sioni kipindi chake karibu mwaka sasa.