Jamani wanajukwaa naombeni ushauri wa kitaalam kati ya subaru impreza V/s audi A3 zote za mwaka Kuanzia 2009 mpaka 2010. Ipi ni mashne nzur na udhaifua wa hzo gar uko wapi? Nataka kuchkua moja kati ya izo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app