Wapendwa wana JF mimi kbhoke napenda kuwasalimia na kuwaelezeni kwamba nathamini sana mchango wenu wa mawazo ndio maana siku zote lazima nichungulie hapa. Mbarikiwe.
Hellow mambers....
Najua nimechelewa ila naamini cjachelewa sana, Muungwana hubisha hodi na kuomba mwongozo, naomba kuwa miongoni mwenu kwenye kuendeleza mema yahumu ndani.
Wapendwa wana JF mimi kbhoke napenda kuwasalimia na kuwaelezeni kwamba nathamini sana mchango wenu wa mawazo ndio maana siku zote lazima nichungulie hapa. Mbarikiwe.
Hellow mambers....
Najua nimechelewa ila naamini cjachelewa sana, Muungwana hubisha hodi na kuomba mwongozo, naomba kuwa miongoni mwenu kwenye kuendeleza mema yahumu ndani.