Salamu kwa JF Members

Salamu kwa JF Members

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Wakuu humu ndani leo nataka kuwasalimu wote humu,

Kama ifuatavyo;
•Kama wewe ni member wa JF umo humu kwa zaidi ya miaka mi5 hujawahi kuchezea Bunn 👉Shikamoo
•Kama wewe ni member unaandika nyuzi haijalishi zinakiuka na kufutwa ila bado unapost 👉 Shikamoo
•Kama wewe ni member ambaye unashiriki kuchangia JF kiuchumi 👉 Shikamoo
•Kama wewe ni moja ya watu unae elimisha member wenzio kwa uzuri bila ubaguzi humu 👉 Shikamoo
•Kama wewe ni member upo bega kwa bega kugonga kitufe cha like kwenye nyuzi/comment za member wengine 👉 Shikamoo.

Nawasalimu wote hata na nilio wasahau.
Je, wewe unamsalimu nani humu ndani?
 
Namslim sana kaseie mahaba matata K' 2M huy ananifanya naenjoy humu.

Mbil koga katika simuliz yake ya fit love betray.

Babu mawe mzee wa kupinga kulamba coni.

Mzee wa kupinga kutokuoa bila bikra.

Kuna mkuu mmoja anajiita erthroyce huyu mpinga maendeleo shikamoo.

Na wengine wote naacha mic anae kuja aendelelee
 
Waiteni wote wakuje huku waweke utani wao
 
Namslim sana kaseie mahaba matata K' 2M huy ananifanya naenjoy humu.

Mbil koga katika simuliz yake ya fit love betray.

Babu mawe mzee wa kupinga kulamba coni.

Mzee wa kupinga kutokuoa bila bikra.

Kuna mkuu mmoja anajiita erthroyce huyu mpinga maendeleo shikamoo.

Na wengine wote naacha mic anae kuja aendelelee
Salam zimefika
 
Back
Top Bottom