Afrika Furaha
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 329
- 10
mabinti wengine ataanza anakusalimia shikamoo, mkishaanza mahusiano shikamoo inakufa.
dawa yao kichapo havi tu....Mabinti wengine ataanza anakusalimia shikamoo, mkishaanza mahusiano shikamoo inakufa.
Habari za JF wanandugu. Kwa kawaida ni kitu cha busara kumsalimia SHIKAMOO mtu aliyekuzidi umri. Lakin Je, kama una mpenzi wako amekuzidi umri ni lazima kusema SHIKAMOO? Hasa kwa mabinti ambao wao ndio huwa na wapenzi wakubwa kiumri zaidi yao. Mfano, Binti miaka 22 mwanaume 29, je huoni ni lazima umsalimie shikamoo?
Hivi nini maana ya shikamoo.....tuanzie hapa kwanza!
sawa!dawa yao kichapo havi tu....
PUSH: P - Pray U- Until S - Something H - Happens
Naas.
Kwani shikamoo ni lazima...???
Mmmh! Hata kwa wazazi au wakwe unaweza kusema hivi??Salamu ni heshima iwe shikamoo iwe habari ya saa hizi salamu ni salamu tu, hamjawahi kuona mfano si wote tafadhali msichana anapita kuna vijana wamekaa pale hasalimii akishapita utasikia msichana hana adabu kabisa huyo hata hasalimii kwani walikuwa wanataka shikamoo hao?/ si walikuwa wanataka mambo, habari zenu, saa saa hizi. So salamu ni ishara ya heshima na kuthamini mtu si lazima shikamoo??? Hapa swala ni salamu na si shikamoo wakuu. Hata huyo binti akikusalimu habari ya saa hizi mume/BF wangu utasikia kakupa heshima yako si lazima kivile shikamoo itumike aaa mie wangu tunapeana mambo mume wangu mpenzi umeamkaje kwisha habari tunaendeleza siku ha ha ha ha ha