Salamu kwa wote humu ndani

Salamu kwa wote humu ndani

Joined
Aug 20, 2016
Posts
24
Reaction score
15
Heloo, nafurahi Leo kushiriki japo salamu na wadau humu JamiiForums. Hii ni mara yangu ya kwanza kutia mguu humu ndani. Na nimelazimika kuingia humu baada ya kushuhudia uhuru na uwazi uliomo humu ndani. Watu wananafasi ya kusema kuchangia na kukosoa. Huu haswa ni utamaduni wa kisomi ni utamaduni ambao kama kila sekta yenye changamoto mbalimali na inapaswa kuutumia. Asanteni wanajamii wote kwani mmenifanya kuwa bize Mara kwa Mara nikisoma nyuzi na michango ya mawazo mbalimbali. Hope tutaenda sawa.
asanteni Sanaa wa ndugu
 
Karibu sana. Umeingia wakati mzuri. Utashuhudia vimbwanga vingi vya watawala dhidi ya UKUTA.
 
Karibu unaeza eka pia na picha ukatambulika sio Mbaya
 
Back
Top Bottom