Salamu kwa Zahera na mashabiki wa Yanga

Salamu kwa Zahera na mashabiki wa Yanga

Fitina zenu zimegonga mwamba,na mlitegemea tufungwe na AS VITA,mpaka kocha wenu kabaki Dar,Lipuli imewafunga,na As Vita tumewafunga.

Shame on you,mlianza kwa Mbabane,Mkaja,Soura,mafarao,na Vita,sasa mnafeel vipi?Shame on you timu isiyo na mbele wala nyuma!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu kawaumbua badala ya kwenda iringa wakajaa uwanja wa Taifa kupiga majungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fitina zenu zimegonga mwamba,na mlitegemea tufungwe na AS VITA,mpaka kocha wenu kabaki Dar,Lipuli imewafunga,na As Vita tumewafunga.

Shame on you,mlianza kwa Mbabane,Mkaja,Soura,mafarao,na Vita,sasa mnafeel vipi?Shame on you timu isiyo na mbele wala nyuma!

Sent using Jamii Forums mobile app
Dont take it personal bro. Its all about Simba and Yanga and not you
 
tupunguze unafki kama hatuwezi kuacha!
 

Attachments

  • Screenshot_2019-03-16-21-43-20.png
    Screenshot_2019-03-16-21-43-20.png
    300.9 KB · Views: 22
Fitina zenu zimegonga mwamba,na mlitegemea tufungwe na AS VITA,mpaka kocha wenu kabaki Dar,Lipuli imewafunga,na As Vita tumewafunga.

Shame on you,mlianza kwa Mbabane,Mkaja,Soura,mafarao,na Vita,sasa mnafeel vipi?Shame on you timu isiyo na mbele wala nyuma!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishawaambia humu kwamba kaja Mbabane, Nkana, soura, Al Ahly, koote huko mungu kawakataa hadi leo wamekuja huu sasa uchawi mungu kashawakataa Yanga mkae kimya...
C. C Barafu la moto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mnyama Simba ameacha mbuga... Yanga wana kazi.
In Mr blue voice
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hakika yanga ndiyo timu inayokwamisha maendeleo ya soka la bongo..sasa acha wao waendeleze taarabu na shoga yao zahara sisi tuhakikishe soka letu linaonekana kimataifa..THIS IS SIMBA bhnana
 
Back
Top Bottom