Salamu kwa Zahera na mashabiki wa Yanga

Mungu kawaumbua badala ya kwenda iringa wakajaa uwanja wa Taifa kupiga majungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dont take it personal bro. Its all about Simba and Yanga and not you
 
tupunguze unafki kama hatuwezi kuacha!
 

Attachments

  • Screenshot_2019-03-16-21-43-20.png
    300.9 KB · Views: 22
Nilishawaambia humu kwamba kaja Mbabane, Nkana, soura, Al Ahly, koote huko mungu kawakataa hadi leo wamekuja huu sasa uchawi mungu kashawakataa Yanga mkae kimya...
C. C Barafu la moto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Tui
Mnyama Simba ameacha mbuga... Yanga wana kazi.
In Mr blue voice
 
Reactions: Tui
Hakika yanga ndiyo timu inayokwamisha maendeleo ya soka la bongo..sasa acha wao waendeleze taarabu na shoga yao zahara sisi tuhakikishe soka letu linaonekana kimataifa..THIS IS SIMBA bhnana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…