Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,668
- 3,751
Habari ya Jumamosi.
Ninayoheshima kubwa kukuandikia mama kukuambiatu kwa ufupi sana.
Mama wewe haya yanayofanyika unayaona na unajua mengi kuliko sisi raiya wako. Hilo lipo wazi
Ninachoweza kukuambia hao watendaji wako ambao wengine niwabadhirifu wengine ni wazembe wanakuloga sana. Uchawi wao nimaneno yakukupamba mitandaoni na majukwaani.
Kila kitu wanakusifia hata uliposema hutaki machawa wanakazana kwasababu wanajua bado hujawakataa.
Mfano wiki iliyopita kuna mteule wako mmoja amesema eti umejenga reli kuwazidi hadi wajerumani. Sasa unaweza ukajiuliza ni kweli?
Mimi ninasema kama nikweli hata tusiwaombe misaada.
Uchawi mwingine wanaoutumia nirangi ya kijani na njano.
Wakishapiga hizo nguo zao wanajifanya niwazalendo sana na INAWEZEKANA nawewe unaamini kama LABDA niwazalendo. Ila elewa kwamba wengi waliokutia fedheha kupitia ripoti ya CAG nihaohao kijani na njano. Sio makamanda wala rangi ya zambarau
Kilamtu ana mema na mabaya, ana ubora na mapungufu.. Ila ninachoweza kumzungumzia nikwamba linapokuja suala lamtu anaeweza kufanya kazi apewe asieweza au mwizi aondolewe. Maneno na rangi za mavazi yao isiwe kinga na ngao ya kukufanya usichukue maamuzi.
Hivi mama unapoenda hata kwa majirani na marafiki kuomba msaada au mkopo kwa ripoti ya CAG huoni kama wanakushangaa? Mama chukua hatua usizubaishwe na maneno na rangi wanazotumia huo ndio uchawi wao
Nimalizie kwakusema ripoti ya CAG imeivua nguo serikali. Chutameni huo ndio uungwana na kuchutama nikuwakataa wabadhirifu
Ninayoheshima kubwa kukuandikia mama kukuambiatu kwa ufupi sana.
Mama wewe haya yanayofanyika unayaona na unajua mengi kuliko sisi raiya wako. Hilo lipo wazi
Ninachoweza kukuambia hao watendaji wako ambao wengine niwabadhirifu wengine ni wazembe wanakuloga sana. Uchawi wao nimaneno yakukupamba mitandaoni na majukwaani.
Kila kitu wanakusifia hata uliposema hutaki machawa wanakazana kwasababu wanajua bado hujawakataa.
Mfano wiki iliyopita kuna mteule wako mmoja amesema eti umejenga reli kuwazidi hadi wajerumani. Sasa unaweza ukajiuliza ni kweli?
Mimi ninasema kama nikweli hata tusiwaombe misaada.
Uchawi mwingine wanaoutumia nirangi ya kijani na njano.
Wakishapiga hizo nguo zao wanajifanya niwazalendo sana na INAWEZEKANA nawewe unaamini kama LABDA niwazalendo. Ila elewa kwamba wengi waliokutia fedheha kupitia ripoti ya CAG nihaohao kijani na njano. Sio makamanda wala rangi ya zambarau
Kilamtu ana mema na mabaya, ana ubora na mapungufu.. Ila ninachoweza kumzungumzia nikwamba linapokuja suala lamtu anaeweza kufanya kazi apewe asieweza au mwizi aondolewe. Maneno na rangi za mavazi yao isiwe kinga na ngao ya kukufanya usichukue maamuzi.
Hivi mama unapoenda hata kwa majirani na marafiki kuomba msaada au mkopo kwa ripoti ya CAG huoni kama wanakushangaa? Mama chukua hatua usizubaishwe na maneno na rangi wanazotumia huo ndio uchawi wao
Nimalizie kwakusema ripoti ya CAG imeivua nguo serikali. Chutameni huo ndio uungwana na kuchutama nikuwakataa wabadhirifu