Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Tumsifu yesu kristo/Bwana Yesu asifiwe wapendwa katika Kristo.
============<>====<>==
Wapendwa kesho ni siku ya furaha kwa sisi Waamini wa Yesu Kristu, Ambapo itakua ni sikukuu ya kumbukumbu ya Kuzaliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
Wapendwa ningependa nichangie kidogo nanyi kuhusu jinsi ya kusherekea sikukuu siku ya kesho.
>>Kesho kwa atakae fanikiwa Afike kanisani yeye na familia yake pia waweze kupata Sakramenti ya Kitubio na Ekaristi takatifu.
>>Kaeni na familia zenu kula pamoja na kusherehekea pamoja.
>>Usiwaache watoto wako wakala hadi wakapitiliza ikawa mbaya kwa afya zao.
>>Kwa watakao ruhusu watoto wao kwenda kusherehekea na wenzao sikukuu baasi wawasindikize wawapeleke, wawavushe barabara au wawapandishe gari, msiwaache wazurure bila kuwepo mkubwa wao.
>>Siku ya kesho msinywe sana mwishoni mkapelekea kuanza kufanya yasio mpendeza Mungu, pia ni vyema mkaambatana pamoja kama familia nzima.
>>Itapendeza zaidi kama siku ya kesho mkaitumia kusherehekea na watu wenye ukosefu wa mahitaji mbali mbali mfano Wagonjwa, wazee, yatima, wafungwa walemavu etc.
>>Endesheni kwa uangalifu magari yenu isije kua siku ya historia mbaya kwenye maisha yako.
>>Mkumbuke kumtolea Mungu shukrani kwa kuweza kuwafikisha Krismasi hii ya mwaka huu.
Ni hayo tu ndugu zangu..
Nawakaribisheni nyumbani Fuoni Zanzibar pia watakao weza tukutane Kanisa la minara Miwili.
"Msaada wangu u katika bwana aliye zifanya Mbingu na Nchi"
Aksanteni wapendwa.
-Mondray-
24 Dec 2017
============<>====<>==
Wapendwa kesho ni siku ya furaha kwa sisi Waamini wa Yesu Kristu, Ambapo itakua ni sikukuu ya kumbukumbu ya Kuzaliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
Wapendwa ningependa nichangie kidogo nanyi kuhusu jinsi ya kusherekea sikukuu siku ya kesho.
>>Kesho kwa atakae fanikiwa Afike kanisani yeye na familia yake pia waweze kupata Sakramenti ya Kitubio na Ekaristi takatifu.
>>Kaeni na familia zenu kula pamoja na kusherehekea pamoja.
>>Usiwaache watoto wako wakala hadi wakapitiliza ikawa mbaya kwa afya zao.
>>Kwa watakao ruhusu watoto wao kwenda kusherehekea na wenzao sikukuu baasi wawasindikize wawapeleke, wawavushe barabara au wawapandishe gari, msiwaache wazurure bila kuwepo mkubwa wao.
>>Siku ya kesho msinywe sana mwishoni mkapelekea kuanza kufanya yasio mpendeza Mungu, pia ni vyema mkaambatana pamoja kama familia nzima.
>>Itapendeza zaidi kama siku ya kesho mkaitumia kusherehekea na watu wenye ukosefu wa mahitaji mbali mbali mfano Wagonjwa, wazee, yatima, wafungwa walemavu etc.
>>Endesheni kwa uangalifu magari yenu isije kua siku ya historia mbaya kwenye maisha yako.
>>Mkumbuke kumtolea Mungu shukrani kwa kuweza kuwafikisha Krismasi hii ya mwaka huu.
Ni hayo tu ndugu zangu..
Nawakaribisheni nyumbani Fuoni Zanzibar pia watakao weza tukutane Kanisa la minara Miwili.
"Msaada wangu u katika bwana aliye zifanya Mbingu na Nchi"
Aksanteni wapendwa.
-Mondray-
24 Dec 2017