View attachment 21399
Nimepokea salamu kutoka kwa mchungaji Masanilo kwa kupitia ujumbe mfupi anawasalimu sana, anasema yeye anaendelea fresh na kifungo alicho pewa, kifungo kikiisha Inshallah tutawakuwa nae tena. Ila anawamiss sana wapwaz wote pia na kondoo wake wote kwa ujumla.
Anawapenda hata wabaya wake
ah ah ah mwabie wote waloletea maendeleo nchi zao walipitia jela{wengi wao} so na yy tunaamini atakuja kutoka huko akiwa na nguvu mpya,tunamtakia kifungo chema tunaamini soon atakuwa bac,nikipata nauli ntaenda kumtembelea
Yeah mama mchungaji Lizzy anampepelea jela
Yeah mama mchungaji Lizzy anampepelea jela