AmenNimejiskia kumshukuru Mungu kwa niaba Yako na Yangu kwa zawadi ya Uhai na Afya njema alizotujalia, hata tunasomana muda huu humu hapa JF.
Ninakuombea Baraka na Neema tele za Mungu wewe ulieanza anza kazi tayari na wewe na unaye elekea kwenye majukumu mbalimbali ya kukupatia riziki.
Mwenyezi Mungu abariki Mipango, Fikra, Mawazo na kazi zako zote kwa maneno na matendo.
Abariki kazi za mikono Yako.Amen
Nikutakie Majukumu Mema ya Leo.
MITHALI 8:34-36Nimejiskia kumshukuru Mungu kwa niaba Yako na Yangu kwa zawadi ya Uhai na Afya njema alizotujalia, hata tunasomana muda huu humu hapa JF.
Ninakuombea Baraka na Neema tele za Mungu wewe ulieanza anza kazi tayari na wewe na unaye elekea kwenye majukumu mbalimbali ya kukupatia riziki.
Mwenyezi Mungu abariki Mipango, Fikra, Mawazo na kazi zako zote kwa maneno na matendo.
Abariki kazi za mikono Yako.Amen
Nikutakie Majukumu Mema ya Leo.
AminaNimejiskia kumshukuru Mungu kwa niaba Yako na Yangu kwa zawadi ya Uhai na Afya njema alizotujalia, hata tunasomana muda huu humu hapa JF.
Ninakuombea Baraka na Neema tele za Mungu wewe ulieanza anza kazi tayari na wewe na unaye elekea kwenye majukumu mbalimbali ya kukupatia riziki.
Mwenyezi Mungu abariki Mipango, Fikra, Mawazo na kazi zako zote kwa maneno na matendo.
Abariki kazi za mikono Yako.Amen
Nikutakie Majukumu Mema ya Leo.
Amen napokeaNimejiskia kumshukuru Mungu kwa niaba Yako na Yangu kwa zawadi ya Uhai na Afya njema alizotujalia, hata tunasomana muda huu humu hapa JF.
Ninakuombea Baraka na Neema tele za Mungu wewe ulieanza anza kazi tayari na wewe na unaye elekea kwenye majukumu mbalimbali ya kukupatia riziki.
Mwenyezi Mungu abariki Mipango, Fikra, Mawazo na kazi zako zote kwa maneno na matendo.
Abariki kazi za mikono Yako.Amen
Nikutakie Majukumu Mema ya Leo.
Nikutakie Majukumu Mema ya Leo.
(1)MITHALI 8:34-36
Amen 🙏(1)
Mungu Baba asante, kwa zawadi ya uhai,
Tumepewa afya njema, tunakushukuru sana.
Kila siku tunapoamka, tunakutukuza jina lako,
Tunaimba na kusifu, Mungu Baba asante.
(2)
Tunapoanza kazi zetu, twaomba baraka zako,
Utupe neema tele, katika majukumu yetu.
Mipango yetu ifanikiwe, fikra zetu ziwe za kweli,
Mungu Baba tusaidie, katika kazi zetu.
(3)
Mungu Baba tunakuomba, utubariki siku zote,
Kazi za mikono yetu, ziwe na mafanikio.
Tunaimba na kusifu, Mungu Baba asante,
Kwa zawadi ya uhai, na afya njema.
Na Wote tuseme Amen.
AmenNimejiskia kumshukuru Mungu kwa niaba Yako na Yangu kwa zawadi ya Uhai na Afya njema alizotujalia, hata tunasomana muda huu humu hapa JF.
Ninakuombea Baraka na Neema tele za Mungu wewe ulieanza anza kazi tayari na wewe na unaye elekea kwenye majukumu mbalimbali ya kukupatia riziki.
Mwenyezi Mungu abariki Mipango, Fikra, Mawazo na kazi zako zote kwa maneno na matendo.
Abariki kazi za mikono Yako. Amen
Nikutakie Majukumu Mema ya Leo.
Amen(1)
Mungu Baba asante, kwa zawadi ya uhai,
Tumepewa afya njema, tunakushukuru sana.
Kila siku tunapoamka, tunakutukuza jina lako,
Tunaimba na kusifu, Mungu Baba asante.
(2)
Tunapoanza kazi zetu, twaomba baraka zako,
Utupe neema tele, katika majukumu yetu.
Mipango yetu ifanikiwe, fikra zetu ziwe za kweli,
Mungu Baba tusaidie, katika kazi zetu.
(3)
Mungu Baba tunakuomba, utubariki siku zote,
Kazi za mikono yetu, ziwe na mafanikio.
Tunaimba na kusifu, Mungu Baba asante,
Kwa zawadi ya uhai, na afya njema.
Na Wote tuseme Amen.