🙏🏾AminaMungu awabariki wote waliokataa salamu za kinafiki
Matunda ya kutotendeka haki katika mazingira ya kupangiliwa.Tena mratibu akiwa ni aigiipmanyota na vijana wake akiba badluck&coKuwepo kwa wimbi la hamasa za chuki kujibu ya salamu za Heri si mambo ya kufumbia macho wala kupiga rungu.
Kama taifa, tumefikaje huku?
Hoja hujibiwa kwa hoja.
Kwa hamasa kali zilizopo kufuatia salamu mbili hizi:
View attachment 2057032
View attachment 2057030
Kwa hakika kuna mahali tume furuku kweri kweri.
"Hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kujidanganya kuwa hayapo" - RIP JKN.
Hisia hizi ni upuuzi mtupu? Kwa idadi kubwa hii ya watema nyongo?
Penye moshi pana moto.
Kile kiti sijui kina nn kila anayekikalia anageuka jeuri kweli kweliTunaishi kwa mazoea sana, haki za wanyonge kuminywa mwaka mzima ila tunasubiri december ifike tutakiane heri ya x-mass na mwaka mpya, tena wengine wakiwa jela kwa kesi za kutengeneza, haya mazoea bora yakemewe mapema, yakiendekezwa yatajenga tabia.
Achana na mirengo ya kibaguzi, tabia hiyo ipo hapo mtaa wa kijani pekeeTuwekee salamu za Tundu Lisu!
Lema kawatumia wachagga wa Moshi na Arusha huku Dar ametusahau.
Nawe unabadirika kuwa takataka, mtu niliyekutumainiaTuwekee salamu za Tundu Lisu!
Lema kawatumia wachagga wa Moshi na Arusha huku Dar ametusahau.
Umesoma salamu za Lema lakini au unabwabwaja tu?!!Nawe unabadirika kuwa takataka, mtu niliyekutumainia
Sasa kwanini yeye Lema kasalimia Moshi na Arusha pekee?Achana na mirengo ya kibaguzi, tabia hiyo ipo hapo mtaa wa kijani pekee
sina haja ya kusoma ya Lema, mimi na wewe uache utakatakaUmesoma salamu za Lema lakini au unabwabwaja tu?!!
Na wewe acha kubwabwaja.sina haja ya kusoma ya Lema, mimi na wewe uache utakataka
Tunaishi kwa mazoea sana, haki za wanyonge kuminywa mwaka mzima ila tunasubiri december ifike tutakiane heri ya x-mass na mwaka mpya, tena wengine wakiwa jela kwa kesi za kutengeneza, haya mazoea bora yakemewe mapema, yakiendekezwa yatajenga tabia.
Ajitathmini,,
Mzee wa Cheap propaganda kaziniSasa kwanini yeye Lema kasalimia Moshi na Arusha pekee?
Kile kiti sijui kina nn kila anayekikalia anageuka jeuri kweli kweli