Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Habari wadau,
Jambo la kujifunza kabla mwaka haujabadilika ni hili hapa, kama kuna silaha iliowahi kuwa na nguvu duniani basi ni pesa tu. Itakupa vingi vizuri na kila aina ya raha ya maisha.
Tuachane na maswala ya kutaka kumridhisha demu kwa kupiga show sijui mcongo na nini vyote havisaidii hivyo ni umbumbumbu tu. Kiasili wanawake ni opportunist and selfish creatures na itabaki kuwa hivyo. Pale anapoona nafsi yake itafarijika kwa chochote iwe material things ama chochote tu lazma ataachia ufa wake tu hata kama anakupenda vipi and you can't do shit.
Pia ikumbukwe kuwa tupo 3rd world country ambapo njaa ni kipaumbele.
Huku ujanja ni kuishinda njaa tu sio kingine, kijana ukiwa na mawe ya kutosha kumiliki kigari na mjengo mkali tu hao wanawake wote wazuri watakuwa sehemu ya maisha yako bila hata kuwafata na kula vumbi la mkongo tena utaonekana mashine kinoma. Chukueni mfano kwa vibabu vyenye mawe vinavyokula watoto wabichi hapo downtown.
Tutafte pesa wanangu, wenye ndoa tayari wapendeni wake zenu sana na wapeni maisha, mtabarikiwa sana. Msisahau pesa ndio kila kitu duniani. Cars,Family,Houses,Health,Comfort vyote vinategemea pesa.
# Tujipangeni vyema mwaka ujao uwe wa mafanikio zaidi ya huu na mungu atabariki hustle zetu.
Jambo la kujifunza kabla mwaka haujabadilika ni hili hapa, kama kuna silaha iliowahi kuwa na nguvu duniani basi ni pesa tu. Itakupa vingi vizuri na kila aina ya raha ya maisha.
Tuachane na maswala ya kutaka kumridhisha demu kwa kupiga show sijui mcongo na nini vyote havisaidii hivyo ni umbumbumbu tu. Kiasili wanawake ni opportunist and selfish creatures na itabaki kuwa hivyo. Pale anapoona nafsi yake itafarijika kwa chochote iwe material things ama chochote tu lazma ataachia ufa wake tu hata kama anakupenda vipi and you can't do shit.
Pia ikumbukwe kuwa tupo 3rd world country ambapo njaa ni kipaumbele.
Huku ujanja ni kuishinda njaa tu sio kingine, kijana ukiwa na mawe ya kutosha kumiliki kigari na mjengo mkali tu hao wanawake wote wazuri watakuwa sehemu ya maisha yako bila hata kuwafata na kula vumbi la mkongo tena utaonekana mashine kinoma. Chukueni mfano kwa vibabu vyenye mawe vinavyokula watoto wabichi hapo downtown.
Tutafte pesa wanangu, wenye ndoa tayari wapendeni wake zenu sana na wapeni maisha, mtabarikiwa sana. Msisahau pesa ndio kila kitu duniani. Cars,Family,Houses,Health,Comfort vyote vinategemea pesa.
# Tujipangeni vyema mwaka ujao uwe wa mafanikio zaidi ya huu na mungu atabariki hustle zetu.