MICHAEL SON
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 458
- 536
Asalaam poleni na Hongereni kwa mapambano ya Covid19.. ALLAH atatufanyia wepesi Inshaallah.naamin umesema Amin.
Naomba nitumie jukwaa hili kuwapa salamu za MEI MOSI Watumishi wa UMMA kada zote.. niwapongeze sana kwa uvumilivu wao wa Miaka 4, bila nyongeza ya MISHAHARA , na bila kupanda Madaraja,, ila bado mpo ngangali mnachapa kazi kama kawaida..
Pia niwaombe muongeze uvumilivu mara dufu,,kwani hata ile AHADI ya NITAONGEZA KABLA YA KUMALIZA MUDA WANGU tayari imepata kisingizio Rasmi. Ndio lazima itakua hoja na pengine ikaonekana na mashiko,, nazungumzia Covid 19. .. hiki ni kichaka kipya. Atajificha humo . ILA SWALI FIKIRISHI JE HIYO MIAKA 4, kulikuwa na Covid19?
Kwa Miaka yote ilitolewa SABABU ya kutekeleza miradi ya maendeleo,,kana kwamba nchi ndo imepata uhuru, KWANGU mimi niliona kama ni upuuzi, soo far Miaka ya nyuma Miradi kibao ilikuwa inaendelea na MISHAHARA na Madaraja vikipanda.... TAFAKARI CHUKUA HATUA
Naomba nitumie jukwaa hili kuwapa salamu za MEI MOSI Watumishi wa UMMA kada zote.. niwapongeze sana kwa uvumilivu wao wa Miaka 4, bila nyongeza ya MISHAHARA , na bila kupanda Madaraja,, ila bado mpo ngangali mnachapa kazi kama kawaida..
Pia niwaombe muongeze uvumilivu mara dufu,,kwani hata ile AHADI ya NITAONGEZA KABLA YA KUMALIZA MUDA WANGU tayari imepata kisingizio Rasmi. Ndio lazima itakua hoja na pengine ikaonekana na mashiko,, nazungumzia Covid 19. .. hiki ni kichaka kipya. Atajificha humo . ILA SWALI FIKIRISHI JE HIYO MIAKA 4, kulikuwa na Covid19?
Kwa Miaka yote ilitolewa SABABU ya kutekeleza miradi ya maendeleo,,kana kwamba nchi ndo imepata uhuru, KWANGU mimi niliona kama ni upuuzi, soo far Miaka ya nyuma Miradi kibao ilikuwa inaendelea na MISHAHARA na Madaraja vikipanda.... TAFAKARI CHUKUA HATUA