TRA Tanzania
Senior Member
- Jul 16, 2022
- 128
- 370
Nyie ni watata sana.
Tunashukuru na tunawapongeza sana kwa kuendelea kufanya kazi nzuri na muendelee kutatua changamoto za wafanya biashara hasa wenye matatizo ya EFD!
Sasa hapo unashitaki TRA? Kwanini usipeleke jambo hili TAKukuru? Kujenga nyumba ni dhambi? Kama una ushahidi peleka Takukuru kinyume na hapo ni chuki na wivu kwa ndugu yako! Hivi angekupa nyumba moja ungemuandika hapa bila ushahidi?Wezi sana, kaka yangu mtoto wa baba mkubwa upande wa bibi mdogo alijenga nyumba nne dar es salaam baada ya kufanya kazi miaka mitatu ya mwanzo hapo TRA.
Tena mkampa demotion kali ya kumpeleka wilayani huko kwenye mikoa maskini. Akatembeza rushwa na akarudishwa tena dar. Sasa hivi ni bilionea.
Kidatta, mtu muungwana sana anayemtegemea Mungu, na Mungu alimlinda wakati anataka kumezwa na firauni. Huyu ni living testimony ya jinsi Mungu analinda wqtu wqke
Hatutaki salamu zenu kusanyeni kodi na muwatendee watu haki waone wako sehemu salama ya kufanya biashara..... Salamu hazitujengei mazingira mazuri kikodi kwenye biashara zetu........... Alaf nyie tiharahei kuna muda sjui mpoje
Umefika kwenye mahekalu yake mbweniKidatta, mtu muungwana sana anayemtegemea Mungu, na Mungu alimlinda wakati anataka kumezwa na firauni. Huyu ni living testimony ya jinsi Mungu analinda wqtu wqke
Leo aliyekupa buku katukosea sana wana JFWazee wa makufuli!