Salamu za Pongezi kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mwenyenzi Mungu azidi kukupa maisha marefu na uvumilivu katika siasa na maisha binafsi. Ni vigumu kwako kutambua ukubwa wa kazi uliyofanya lakini naomba kukujulisha kwamba umefanya kazi kwa moyo, utu na umeliweka Taifa mbele.

Usitetereke lakini pia usijiinue bali subiri wakuinue. Hongera sana bwana mdogo umewafundisha vijana wa Kitanzania kwamba bado wapo watu wanaoweza kujisimamia.

Viva Mnyika Viva
 
Tatizo la Mnyika ni kutamka bungeni kuwa Dkt Kikwete ni rais dhaifu, it costs him dearly. Funzo kwa vijana tufanye kazi kwa heshima.
 
Tutalala wiki ijayo. Sasa hivi ni kushangilia ushindi wa Lissu tu.
 
Mwenyenzi Mungu azidi kukupa maisha marefu na uvumilivu katika siasa na maisha binafsi. Ni vigumu kwako kutambua ukubwa wa kazi uliyofanya lakini naomba kukujulisha kwamba umefanya kazi kwa moyo, utu na umeliweka Taifa mbele.πŸ’ͺπŸΏπŸ‘ŒπŸΏπŸ™πŸΏ
 
J.J.Mnyika kijana smart sana hakuegemea upande wowote na alikua ana vibe sana la miziki ya chadema pale mbele ya ukumbi
 
Ila kwel ujue, huyu mwamba ni kama hayupo ila kwenye hili lazima Legacy yake iwe recognized
 
Tatizo la Mnyika ni kutamka bungeni kuwa Dkt Kikwete ni rais dhaifu, it costs him dearly. Funzo kwa vijana tufanye kazi kwa heshima.
Kwahiyo kama aliona hivyo ulitaka akae kimya kisa kulinda ulaji sio?
 
Dkt Slaa Yuko wapi?
Yuko korokoroni, huyu mzee alitaka kufanya spinning game Lissu anatwe na mandata akae ndani wakat wa uchaguz, akashtukiwa.
SErikal itamtoa kwa wakat wake mtunwao huyo, kwanza huko aliko anakula bata tu wala hapati shida
 
Umeongea ukweli mtupu. Mungu ampe maisha marefu. Hii ni hazina kwa Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…