DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Sizonje kazid soon tutamlipua ili tuone kama yeye ni Mungu mtuNatoa salamu za pongezi kwa Kakobe kwa tendo la kishujaa la kumfunga paka kengele.
Big up sana Kakobe, Hakika umemwaga mafuta ya taa kwenye shimo la nyoka na wameanza kutoka mmoja baada ya mwingine kazi imebaki kwetu sisi tunawaponda vichwa mpaka wafe.
Asante sana sana[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] mada yako ndio naiona leo... Sijui nini kilitokea... Am humbledIkiwa zimebaki siku chache kumaliza mwaka huu 2017 naomba nitoe pongez zangu kwa Mshana Jr ...
Kwa kuweza kutowa Elimu Kubwa iliyotujenga sisi wadau wa mambo ya Giza...
Big up mshana Jr[emoji109] [emoji109] [emoji109]
[emoji120] [emoji120][emoji120] [emoji120] [emoji123] [emoji115]Unastahili pongezi Mshana Jr.
Umekuwa na mchango mkubwa sana humu jamvin(Jf)
Hivi kumbe na Ww mchawi? Sasa Kwanini umeshindwa kumroga Yule mke wq police aliekuletea papuchi nyumbani kwa mama akaanza kumponda mkeo kuwa Ana sura mbaya?Ikiwa zimebaki siku chache kumaliza mwaka huu 2017 naomba nitoe pongez zangu kwa Mshana Jr ...
Kwa kuweza kutowa Elimu Kubwa iliyotujenga sisi wadau wa mambo ya Giza...
Big up mshana Jr[emoji109] [emoji109] [emoji109]
Mimi sio mchawi mkuu...alafu na mshana Jr sio mchawi isipokuwa anatoa mada heavy.Hivi kumbe na Ww mchawi? Sasa Kwanini umeshindwa kumroga Yule mke wq police aliekuletea papuchi nyumbani kwa mama akaanza kumponda mkeo kuwa Ana sura mbaya?
Natoa salamu za pongezi kwa Kakobe kwa tendo la kishujaa la kumfunga paka kengele.
Big up sana Kakobe, Hakika umemwaga mafuta ya taa kwenye shimo la nyoka na wameanza kutoka mmoja baada ya mwingine kazi imebaki kwetu sisi tunawaponda vichwa mpaka wafe.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Hivi kumbe na Ww mchawi? Sasa Kwanini umeshindwa kumroga Yule mke wq police aliekuletea papuchi nyumbani kwa mama akaanza kumponda mkeo kuwa Ana sura mbaya?
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Mimi sio mchawi mkuu...alafu na mshana Jr sio mchawi isipokuwa anatoa mada heavy.
That move BAK is a mile stone ordeal... A step ahead to........Mimi natoa pongezi zangu za dhati kabisa kwa Baraza la Maaskofu wa Kikatoliki nchini kwa kuamua kutoendelea na ukimya wa kuhusu UdU wa kutisha nchini unaofanywa na huyu DU katika kuminya uhuru wa vyombo vya habari nchini, uhuru wa Watanzania kujadili mustakabali wa nchi na pia kuikosoa Serikali na hii tabia ya kuteka, kutesa na hata kuua Watanzania wasio na hatia.
Muendeleee na sauti yenu hivyo hivyo waumini na wasio waumini nchini wanawaunga mkono na kufurahia sana kauli zenu dhidi ya Serikali hii dhalimu.
Mkuu angalia macho yasije yakachomoka[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hahaha jokes mkuu, ila Hebu Sema ukweli huku Tupo watu wazima, Yule mke wa police hukumla kweli pale kwa mama?Mimi sio mchawi mkuu...alafu na mshana Jr sio mchawi isipokuwa anatoa mada heavy.