Kwa mujibu wa matangazo ya idhaa ya Kiswahili ya DW mchana wa leo, tayari salamu za pongezi kwa ushindi wa kishindo wa Museveni zimeanza kumiminika Uganda.
Wakati salamu hizo zikienda huko, ugeni mzito wa balozi wa Marekani kwa Bobi Wine anayeendelea kuwekwa kizuizini nyumbani kwake umezuiliwa kumfikia.
Museveni amemshutumu balozi huyu Beberu kwa kuingilia mambo ya ndani ya Uganda wakati sisi (Waafrika) hatuyaingilii ya kwao.
Hata hivyo, hadi sasa salamu za pongezi toka kwa rais wetu mpendwa Dk. Magufuli ndizo pekee zimeshapokelewa na nyingi nyingine zikitegemewa hivi karibuni hasa tokea Rwanda, Zimbabwe, China na nchi marafiki.
Hongera rais wangu Magufuli kwa kulifungua pazia hili la pongezi tokea juzi na kwa ujasiri mkubwa.
Umeonyesha njia, sasa yetu macho kuona nani shupavu mwingine atakayefuata nyayo zako.
Wakati salamu hizo zikienda huko, ugeni mzito wa balozi wa Marekani kwa Bobi Wine anayeendelea kuwekwa kizuizini nyumbani kwake umezuiliwa kumfikia.
Museveni amemshutumu balozi huyu Beberu kwa kuingilia mambo ya ndani ya Uganda wakati sisi (Waafrika) hatuyaingilii ya kwao.
Hata hivyo, hadi sasa salamu za pongezi toka kwa rais wetu mpendwa Dk. Magufuli ndizo pekee zimeshapokelewa na nyingi nyingine zikitegemewa hivi karibuni hasa tokea Rwanda, Zimbabwe, China na nchi marafiki.
Hongera rais wangu Magufuli kwa kulifungua pazia hili la pongezi tokea juzi na kwa ujasiri mkubwa.
Umeonyesha njia, sasa yetu macho kuona nani shupavu mwingine atakayefuata nyayo zako.