Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Freeman Mbowe aliyeko gerezani kwa tuhuma za uongo amepoteza Mama Mkwe ambaye ni mke wa Mzee Edwin Mtei, hata hivyo hakukata tamaa, amefanikiwa kutuma salamu zake za rambirambi kupitia kwa mwakilishi wake ambapo ameonyesha masikitiko yake makubwa sana kwa kuondokewa na MZAA CHEMA katika kipindi hiki ambacho yuko jela kutokana na matakwa ya watawala.
Tutaweka video ya mwakilishi ikiwezekana ili kila mmoja ajionee mwenyewe.
Tutaweka video ya mwakilishi ikiwezekana ili kila mmoja ajionee mwenyewe.