Salamu zenu nyie wanawake mnaopenda kutuongopea kwenye mitandao

Salamu zenu nyie wanawake mnaopenda kutuongopea kwenye mitandao

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
*Nawasalimia[emoji68]Wasichana[emoji68] wale mnao Google chakula na kupost mitandaoni ili muonekane ni wakishua kumbe wa MBAGALA,*


*Nawasalimia WASICHANA weupe[emoji68] mitandaoni ila mkiwa kwenu WEUSI,*

*Nawasalimia WASICHANA Ninao watumia TEXT wanazijibu kwa NYODO mfano[emoji106][emoji108] P, K, O, S!!* *Nakaribia KUOA,*


*Nawasalimia WASICHANA wale wanao kuomba URAFIKI FB halafu ukianzisha chating wanakuuliza wewe NANI[emoji23][emoji23][emoji23]*
*mimi ni nyani kutoka mikumi,*


*Nawasalimia WASICHANA ambao ukiaatongoza wanakupa majibu ya SHIT ila ukipost picha ya demu wanawake foleni [emoji392] inbox kuuliza huyo nani,*



*Nawasalimia WASICHANA wale wanaopost picha ukiccoment Anareply ukimfata [emoji392] inbox Anauchuna ila ukitaja helaa Anakujibu kama umeme wa LUKU hamjambo jamani*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

*Nawasalimia wale WASICHANA nilio watongoza mkanikubalia na mkaniomba HELA hapo hapo[emoji23][emoji23][emoji23] Tumeachana[emoji23] Niwaambie SICHUNIKI,*




*Nawasalimia wale WASICHANA wazuri mpaka naogopa kuwafata [emoji392] inobx nabaki na kula kwa macho NAWAPENDA JAMANI*[emoji14][emoji14][emoji12][emoji12]





*Nawasalimja wale WASICHANA Tunao chuniana MITANDAONI ila tukikutana MTAANI mnaniita ita kama mnanijua PLEASE[emoji23][emoji23][emoji23] NIPENI BREAK,*


*Nawasalimia WASICHANA Ambao ni wacha MUNGU mitandaoni ila nje ya wauza papa, salamu ziwafokie*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]





*Nawasalimia wale WASICHANA munaosema ni hali ya kuwa mkiombwa no za simu mnatoa, KARIBUNI CHAI*[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1]



*Nawasalimia wale WASICHANA nilio watongoza MTANDAONI nampka sasa tunaitana honey Ila HATUJUANI*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]





*Nawasalimia wale WASICHANA Wotee mliokimbia SHULE ila MTANDAONI wameandika wamesemea UDSM, IFM, CBE, SAUT NA UDOM NAWAKUMBUSBA MUNGU ANAWAONA*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



*Nawasalimia wale WASICHANA ukichart nao wanakujibu kwa KINGEREZA ila ukimtukana Anakujibu* *kwa KISWAHILI[emoji23][emoji23] Muoneni*
*Ras simba*



*Nawasalimia Wale WASICHANA wanao post picha NZURI ila hawataki kutongozwa UMEPOST YA NINI*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]




*Nawasalimia wale WASICHANA mnaojita CUTE, PRINCESS PREATY, CANDY kumbe mtaani unaitwa Bupe,sikujua,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] havinitishi WAZAZI WENU WANAWATAFUTA*






*Nawasalimu WASICHANA Mnao TONGOZWA Mtandaoni kisha mnasema mtumiwe NAULI, Badilisheni mbinu VYUMA VIMEKAZA*!!
 
Hahahahah
FB_IMG_1543036623089.jpeg
 
*Nawasalimia[emoji68]Wasichana[emoji68] wale mnao Google chakula na kupost mitandaoni ili muonekane ni wakishua kumbe wa MBAGALA,*


*Nawasalimia WASICHANA weupe[emoji68] mitandaoni ila mkiwa kwenu WEUSI,*

*Nawasalimia WASICHANA Ninao watumia TEXT wanazijibu kwa NYODO mfano[emoji106][emoji108] P, K, O, S!!* *Nakaribia KUOA,*


*Nawasalimia WASICHANA wale wanao kuomba URAFIKI FB halafu ukianzisha chating wanakuuliza wewe NANI[emoji23][emoji23][emoji23]*
*mimi ni nyani kutoka mikumi,*


*Nawasalimia WASICHANA ambao ukiaatongoza wanakupa majibu ya SHIT ila ukipost picha ya demu wanawake foleni [emoji392] inbox kuuliza huyo nani,*



*Nawasalimia WASICHANA wale wanaopost picha ukiccoment Anareply ukimfata [emoji392] inbox Anauchuna ila ukitaja helaa Anakujibu kama umeme wa LUKU hamjambo jamani*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

*Nawasalimia wale WASICHANA nilio watongoza mkanikubalia na mkaniomba HELA hapo hapo[emoji23][emoji23][emoji23] Tumeachana[emoji23] Niwaambie SICHUNIKI,*




*Nawasalimia wale WASICHANA wazuri mpaka naogopa kuwafata [emoji392] inobx nabaki na kula kwa macho NAWAPENDA JAMANI*[emoji14][emoji14][emoji12][emoji12]





*Nawasalimja wale WASICHANA Tunao chuniana MITANDAONI ila tukikutana MTAANI mnaniita ita kama mnanijua PLEASE[emoji23][emoji23][emoji23] NIPENI BREAK,*


*Nawasalimia WASICHANA Ambao ni wacha MUNGU mitandaoni ila nje ya wauza papa, salamu ziwafokie*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]





*Nawasalimia wale WASICHANA munaosema ni hali ya kuwa mkiombwa no za simu mnatoa, KARIBUNI CHAI*[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1]



*Nawasalimia wale WASICHANA nilio watongoza MTANDAONI nampka sasa tunaitana honey Ila HATUJUANI*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]





*Nawasalimia wale WASICHANA Wotee mliokimbia SHULE ila MTANDAONI wameandika wamesemea UDSM, IFM, CBE, SAUT NA UDOM NAWAKUMBUSBA MUNGU ANAWAONA*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



*Nawasalimia wale WASICHANA ukichart nao wanakujibu kwa KINGEREZA ila ukimtukana Anakujibu* *kwa KISWAHILI[emoji23][emoji23] Muoneni*
*Ras simba*



*Nawasalimia Wale WASICHANA wanao post picha NZURI ila hawataki kutongozwa UMEPOST YA NINI*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]




*Nawasalimia wale WASICHANA mnaojita CUTE, PRINCESS PREATY, CANDY kumbe mtaani unaitwa Bupe,sikujua,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] havinitishi WAZAZI WENU WANAWATAFUTA*






*Nawasalimu WASICHANA Mnao TONGOZWA Mtandaoni kisha mnasema mtumiwe NAULI, Badilisheni mbinu VYUMA VIMEKAZA*!!
Wapo sema tuu wewe haijakutokea mimi hadi pm yangu nimeifunga
Mmmmuh nawasalimu wale wenzangu mnaoteswa na sket mpya kumbe home Ni beki tatu
 
Kwa maisha ya sasa yanavyokwenda kasi sijui utawazuiaje maana ni mwendo wa kuigiza tu na si wanawake pekee kwa baadhi ya mambo hadi wanaume ndio zenu hizo.
 
Kwa maisha ya sasa yanavyokwenda kasi sijui utawazuiaje maana ni mwendo wa kuigiza tu na si wanawake pekee kwa baadhi ya mambi hadi wanaume ndio zenu hizo.
Yaani kazi ipo
 
Halafu lile pozi lao la tege waanze kulilipia kodi.
 
Namsalimia sana yule dada nliomuomba number ya sim akanipa number ya gari, ila siku alivyoniona nampa dada yake Iphone zawadi (kwenye birthday), eti akanianzishia shazi na kununa (sura ikawa kama anapuliza moto). Mungu akubariki[emoji18]
 
Umetisha [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Namsalimia sana yule dada nliomuomba number ya sim akanipa number ya gari, ila siku alivyoniona nampa dada yake Iphone (kwenye birthday) eti akanianzishia shazi na kununa (sura ikawa kama anapuliza moto). Mungu akubariki[emoji18]
 
Back
Top Bottom