Wa kufua makufuli? Ngoja nende nkasome mie.😀NENDA KASOME USHAHIDI AMBAO CHARITY anajiandaa kutuwekea kule kwenye biashara haramu ya 'kusaidiana'
NENDA KASOME USHAHIDI AMBAO CHARITY anajiandaa kutuwekea kule kwenye biashara haramu ya 'kusaidiana'[/QUOTE]
yeomiiiii!!!!
tulichezeana bana
una hela ww?c unajua hapendi mtu?alau kwnn unataka Twin ndo aje kunambia?ww domo zege?haya one mo chance mwaga sera zako fasta
/QUOTE]
pesa mbele maloveeeeeeeeeeee later............
muulizeLol kumbe na wewe yule mzungu poli unamchuna hahahaha hakuna mapenzi hapo lol
muulize
pale kwa msukuma mapenzi mbele............................
heheeeee am madly in love with my msukuma........
Hahahaha sema umempendea ng'ombe wake hakuna cha love wala nn.
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!! muuliza swali jibu ndo hilo ulotaka
pesa mbele maloveeeeeeeeeeee later............
Twinuska true love is in novels and movies only,true love is like agost only few pple c it
imagine nakumbamba kote juzi lakini walaaaaaaa!!!! we are back to love...
Kama umembamba juzi basi wewe hakupendi njoo kwangu upate barafu ya moyo.
Kama umembamba juzi basi wewe hakupendi njoo kwangu upate barafu ya moyo.
kwani kakwambia anataka barafu huyu?mwenzio anacheza na vya motooooooooo,ni microvawe tu bana
kwani kakwambia anataka barafu huyu?mwenzio anacheza na vya motooooooooo,ni microvawe tu bana
Yeah anahitaji kumpunzishwa ndani ya moyo wangu atulie kama maji ya mtungi.
Huyo mzungu poli anamnyasa nyasa juzi kamfumania kesho atasikia jingine.
kwako siji ng'ooooooooooooooooooooooooo.....
ntakusemea kwa Iribini unanininiiiiiiiiiiiiiii.............
ndugu zake walikuwa wanajaribu kumshawishi.......
kwako siji ng'ooooooooooooooooooooooooo
ntakusemea kwa Iribini unanininiiiiiiiiiiiiiii.............
afu mpwa tuhishimiane basi tabia gani hiyo ya kumpa majina shemeji yako.........???
Napiga tizi hapa!
Wamekufanya nini mamushka nikuje nimeshameza kabisa ile dawa yetu?