hahahahaha!hata mimi nisingeruhusu huo upuuzi...!NITAUA MTUHeheeeeeee,nikuruhusu nini sasa(kwamba umtokee Mrs wangu ama?,hiyo itakuwa dharau sasa(kwa umpendaye) aisee)....Kama kweli unampenda utamlinda..Nami daima namlinda bht wangu so sahau mazee
Heheeeeeee,nikuruhusu nini sasa(kwamba umtokee Mrs wangu ama?,hiyo itakuwa dharau sasa(kwa umpendaye) aisee)....Kama kweli unampenda utamlinda..Nami daima namlinda bht wangu so sahau mazee
I have all the reasons to love you B!!!
huyu mfa maji heshi kutapatapa......atakwenda tu na mawimbi...
watu wengine siju vipi!!! they are so determined to destroy others
agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!
I have all the reasons to love you B!!!!!!
Lol siku zote kumbe ndo huyu B unaye mzungumzia.
Sasa kwa taarifa yako posa hajatoa na kwa wakwe bado hajulikani mnamegana kwa kuibiana tu, tupo ligi atakae wahi kwa wakwe ndie anae beba mzigo.
asavali hata ninaye wewe unayeelewa!!! I thank God for having you here......NGOJA NIMPIGIE SIMU!unajua sisi tulioingia kwenye hii program tuna hasira sana na watu wanaosumbua wake za watu au wanawake wenye commitments zao
nani alikuambia mi mzigo?
nani alikuambia wazee watanichaguli mume/
nani kakwambia tunamegana kwa kuibia?
Uwiiiiii umeshinda livae pendo la B.
Kwa heshima ya B nimeamua ninyoshe mikono angekuwa mwingine ningetumia kizizi.
chapter closed!!!!!!!!!!!!!
Mi nitakuwa mlinzi wako rasmi sasa nione unapepesa pepesa macho kwa vidume nareport kwa jamaa mapema.
Lol siku zote kumbe ndo huyu B unaye mzungumzia.
Sasa kwa taarifa yako posa hajatoa na kwa wakwe bado hajulikani mnamegana kwa kuibiana tu, tupo ligi atakae wahi kwa wakwe ndie anae beba mzigo.
Mpwa hivi unaelewa maana ya Mrs??...Bht ni Mrs B bana...Hayo mambo ya posa mbona kitambo sana