julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 3,081
- 4,224
toka asubuhi ukiifungua inakuwa blank as if hamna tena? tumesha update taarifa ila ukibonyeza mshiko fasta inakaambia nenda uka update namba yako ya simu sa nashangaa tume update mpaka maa alama ya vidole vitano na mpaka hali ya ndoa mbona haiji update? na salary avans mnakata ngap?