Salary ikitoka tupeane taarifa

Salary ikitoka tupeane taarifa

Kama salary imetoka naomb taarifa maana npo kijijin yaan kwa kifup sna source of information zaid ya Jf
Karibun wadau
Mkuu unatakiwa ubadilike. Maisha ya kutegemea mshahara ni magumu sana. Anzisha kabiashara ka aina yoyote ile na kwa mtaji wowote ule, ili uweze kujikopesha wakati ukisubiria hiyo salary.

Binafsi nashukuru nimetoka huko kwenye utegemezi wa salary kwa 100%! Yaani ilikuwa hata wakichelewesha siku moja tu, akili inavuruga kabisa! Samahani sana kama nitakuwa nimekukwaza kwa huu ushauri wangu.
 
Mkuu unatakiwa ubadilike. Maisha ya kutegemea mshahara ni magumu sana. Azisha kabiashara ka aina yoyote ile na kwa mtaji wowote ule, ili uweze kujikopesha wakati ukisubiria hiyo salary.

Binafsi nashukuru nimetoka huko kwenye utegemezi wa salary kwa 100%! Yaani ilikuwa hata wakichelewesha siku moja tu, akili inavuruga kabisa! Samahani sana kama nitakuwa nimekukwaza kwa huu ushauri wangu.
Best advice ...uko sahihi!
 
Back
Top Bottom