Kitumburee
Senior Member
- Jan 31, 2012
- 142
- 88
Nawasalimu wanajamvi.
Naomba kujuzwa anaefahamu kiwango cha salary scale hii
TRCS 5 ni shilingi ngapi
Naomba kujuzwa anaefahamu kiwango cha salary scale hii
TRCS 5 ni shilingi ngapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hongera kwa uzalendo. kufanya kazi bure sio kazi rahisiMimi wakinipa kazi ya kuendesha treni la mwendo kasi, hata bure nafanya.
Duh😳Ila kiukweli kuna watu nawafaham walipakimbia huku miaka flani na kufata tempo za tanesco nahsi ni 700-800 haizid hapo net salary
Inasikitisha sana,shirika kubwa kama lile inakuwaje ivyoMpaka mwaka huu mwezi watano kabla hawajapandisha mishahara , ilikuwa diploma 460,000 degree 800,000 hakuna overtime
Pesa ndefu sana hiyo kwa aliekaa mtaani muda mrefu, sio ya kupuuzia hata kidogoMpaka mwaka huu mwezi watano kabla hawajapandisha mishahara , ilikuwa diploma 460,000 degree 800,000 hakuna overtime
Hapana TRCS 3 ni 765 hiyo TRCS 5 ni zaidi ya hapoIla kiukweli kuna watu nawafaham walipakimbia huku miaka flani na kufata tempo za tanesco nahsi ni 700-800 haizid hapo net salary
Kuna mengi ya ajabu mkuu acha tuInasikitisha sana,shirika kubwa kama lile inakuwaje ivyo
Sasaivi trc sio ile ya zamani,kama umeshachunguza sasaivi wanasafirisha hadi makontena kwenda mikoani kama huamini nenda pale Tazara kuna yadi wamepanga makontenaUnachekesha xanaa ukubwaa UPI bro? Kusafrish abiria kwendakigoma ndoukubwaa au manawotee tunajua mizigo ilikuwaga inasafirishwa na malor
Sahihi kabisa TRC Sasa hivi mpaka mafuta yanasafirishwa toka Tanga, cement na mizigo kibao ila si TRC ya miaka mi 4 iliyopita nikikumbuka sina hamu. Mishahara ya tarehe 41Sasaivi trc sio ile ya zamani,kama umeshachunguza sasaivi wanasafirisha hadi makontena kwenda mikoani kama huamini nenda pale Tazara kuna yadi wamepanga makontena
Hivi unajua kuwa trc zamani ilikuwa ndiyo mlipaji bora kabisa hapa nchini kama walivyo leo akina Tcra et al?Unachekesha xanaa ukubwaa UPI bro? Kusafrish abiria kwendakigoma ndoukubwaa au manawotee tunajua mizigo ilikuwaga inasafirishwa na malor