Barabara nimepata
Uwe na uhakika na unayoandika. Awali wakati wa TRC ile ni kweli TRC ilisafirisha mifugo katika CWB, mafuta katika PTB na hizo Container Carrier pia kulikuwa na mpaka na mabehewa ya kusafirishia minofu ya samaki.Trc miaka yote mafuta na makontena wanasafirisha. Kwa msiojua ndo mmeanza ona leo labda kuwa wanasafirisha. Tangu nikiwa mdogo trc wanasafirisha mafuta, mazao, makontena ya mizogo. Bakhresa ana kontena zake kbs spesho pale trc miaka nenda rudi
Habari yako mkuu naweza kuja pmIla kiukweli kuna watu nawafaham walipakimbia huku miaka flani na kufata tempo za tanesco nahsi ni 700-800 haizid hapo net salary
Habari yako mkuu naweza kuja pmIla kiukweli kuna watu nawafaham walipakimbia huku miaka flani na kufata tempo za tanesco nahsi ni 700-800 haizid hapo net salary
Umesomea?Mimi wakinipa kazi ya kuendesha treni la mwendo kasi, hata bure nafanya.