sometimesyes
JF-Expert Member
- Dec 5, 2017
- 360
- 288
Wasomi habari zenu,
Naomba nirukie moja kwa moja kwenye mada
Mimi ni mtumishi wa umma ambae nna mkopo benki fulani, na deni hata mwaka halijmaliza mwaka, sasa nimeshangaa kweney salary slip yangu ya mwezi Oktoba lile deni halipo na mshahara haujakatwa, napata majaribu kukopa taasisI nyingine ya kifedha.
Swali, endapo nitafanya hivyo na wakashtuka, kisheria itakua vipi hapo, wanaweza kuendelea kukata mshahara uliobaki au naweza kula mvua wazee wenzangu?
Nawasilisha
Naomba nirukie moja kwa moja kwenye mada
Mimi ni mtumishi wa umma ambae nna mkopo benki fulani, na deni hata mwaka halijmaliza mwaka, sasa nimeshangaa kweney salary slip yangu ya mwezi Oktoba lile deni halipo na mshahara haujakatwa, napata majaribu kukopa taasisI nyingine ya kifedha.
Swali, endapo nitafanya hivyo na wakashtuka, kisheria itakua vipi hapo, wanaweza kuendelea kukata mshahara uliobaki au naweza kula mvua wazee wenzangu?
Nawasilisha