sometimesyes
JF-Expert Member
- Dec 5, 2017
- 360
- 288
Wewe jamaa hujielewi kabisa! Kwa hiyo unataka tukuulize una tatizo gani ndo uelezee ama?Wakuu Nina tatizo kidogo kisheria nahitaji msaada pi
JF ni burdani ya aina yake.Wewe jamaa hujielewi kabisa! Kwa hiyo unataka tukuulize una tatizo gani ndo uelezee ama?
Pita ivi babuWewe jamaa hujielewi kabisa! Kwa hiyo unataka tukuulize una tatizo gani ndo uelezee ama?
weka hapa tuoneWasomi habari zenu,
Naomba nirukie moja kwa moja kwenye mada
Mimi ni mtumishi wa umma ambae nna mkopo benki fulani, na deni hata mwaka halijmaliza mwaka, sasa nimeshangaa kweney salary slip yangu ya mwezi Oktoba lile deni halipo na mshahara haujakatwa, napata majaribu kukopa taasisI nyingine ya kifedha.
Swali, endapo nitafanya hivyo na wakashtuka, kisheria itakua vipi hapo, wanaweza kuendelea kukata mshahara uliobaki au naweza kula mvua wazee wenzangu?
Nawasilisha
Mimi ilishawahi kunitokea hii, ilikuwa mwaka 2009, nilikopa bank fulani hivi, baada ya miezi kadhaa deni likawa halipo kwenye salary slip na mshahara haukatwi, nikasubiri mpaka mwaka 2012 ndipo nikakopa kwenye bank nyingine baada ya kuona hakuna tena makato.Wasomi habari zenu,
Naomba nirukie moja kwa moja kwenye mada
Mimi ni mtumishi wa umma ambae nna mkopo benki fulani, na deni hata mwaka halijmaliza mwaka, sasa nimeshangaa kweney salary slip yangu ya mwezi Oktoba lile deni halipo na mshahara haujakatwa, napata majaribu kukopa taasisI nyingine ya kifedha.
Swali, endapo nitafanya hivyo na wakashtuka, kisheria itakua vipi hapo, wanaweza kuendelea kukata mshahara uliobaki au naweza kula mvua wazee wenzangu?
Nawasilisha
Imekula kwako,ni sawa na Sabaya tuu hatakanyaga tena kwenye ofisi za Umma.Naomba kuuliza ,Kuna baadhi ya masharti ya kazi ukiomba wanakwambia uwe hujawahi kutiwa hatiani kwa kosa lolote,Sasa swali je Kama nimewahi kufungwa na kosa Hilo nikalikatia rufaa halafu nikashinda rufaa,je kipengere Cha kutiwa hatiani kitakuwa bado kinanibana?
Linakuwa limefutwa na hata wakikuuliza wape judgementNaomba kuuliza ,Kuna baadhi ya masharti ya kazi ukiomba wanakwambia uwe hujawahi kutiwa hatiani kwa kosa lolote,Sasa swali je Kama nimewahi kufungwa na kosa Hilo nikalikatia rufaa halafu nikashinda rufaa,je kipengere Cha kutiwa hatiani kitakuwa bado kinanibana?