Salawe-shinyanga

Mumlii

Senior Member
Joined
Mar 14, 2021
Posts
169
Reaction score
232
Kwa wakazi waliozaliwa hii kata salawe-shinyanga ,naombeni sifa za wakazi wa salawe nmehamia huku kiutafutaji. Cha kwanza nianze kijifunza lugha ya salamu (kisukuma) .
 
Unataka sifa gani sasa mkuu ?? Huko ni wasukuma.Kama unazijua sifa za wasukuma basi inatosha ila jiandae kupambana na Fisi Watu.
 
Siku ukiamua kuja Shinyanga mjini uamuzi ni wako kama utapanda Fast Jet, Hokkas Class au hiace ya Joshua Express. Ukishuka hapo stendi ya zamani utanikuta mdau wa JF
 
Nasikia kume hila huko..piga kazi..ila heshimu watu wasalimie acha kujifanya wa mjini..hakikisha hutongozi mabinti pia wake za watu...mengine sali sanaYesu akuongoze.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…