Sale sale sale of beds

Sale sale sale of beds

manyusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2009
Posts
292
Reaction score
170
Ndugu wana JF kulala mahali pazuri ni jambo jema kamata kitanda kwa bei ya punguzo vimebaki vitanda vitatu tu kwa bei ya 250,000 tu kwa kila kimoja.Wasiliana kwa akamanyusi@yahoo.co.uk au 0713876210
 

Attachments

  • kitanda.jpg
    kitanda.jpg
    46.8 KB · Views: 137
  • kitanda3.jpg
    kitanda3.jpg
    45.9 KB · Views: 132
Ndugu wana JF kulala mahali pazuri ni jambo jema kamata kitanda kwa bei ya punguzo vimebaki vitanda vitatu tu kwa bei ya 250,000 tu kwa kila kimoja.Wasiliana kwa akamanyusi@yahoo.co.uk au 0713876210


Ni size gani hivyo vitanda? na vipo mji gani na sehemu gani? na vimetengezwa kwa material gani
 
Ni size gani hivyo vitanda? na vipo mji gani na sehemu gani? na vimetengezwa kwa material gani

freetown huyu atakuwa bongo nadhani maana naona hiyo namba ni ya Tigo
 
Ndio maana wabongo biashara zinatushinda unapotaka kuuza kitu toa na vipimo vyake ,materia yake na sehemu ya kupata hivyo vitu then ndo mambo ya simu na email.Eti nikitaka kujua mpaka nipige simu na kuandika email,kumbe ungeeleza kwa kikamilifu ni rahisi kila mtu kufuata,huo ni ushauri wa bwelele wabongo,au itabidi umuone Twisa mbeba bx maarufu akupe njia mbadala za marketing tuh tuh
 
Ndugu wana JF kulala mahali pazuri ni jambo jema kamata kitanda kwa bei ya punguzo vimebaki vitanda vitatu tu kwa bei ya 250,000 tu kwa kila kimoja.Wasiliana kwa akamanyusi@yahoo.co.uk au 0713876210


You need to know how to do business!! What a worthless advert is that??

Tafuta vikozi vya marketing na business administratin vikusaidie uwezi kuelewa basic technicalities katika biashara!!
 
Huyu bwana manyusi alikwisha vitangaza vitanda hivyo, akaweka bei na size, pia akasema vimetengenezwa kwa mianzi (bamboo), kwa hiyo nadhani anaasume kuwa watu wote walisoma matangazo na wanavikumbuka, vilevile huwa hapatikani mara nyingi humu ndani, nadhani ni kwa sababu ya aksesi ya net na inakuwa tabu kidogo kupata muda, ila ukimtafuta kwa simu unamkamata tu.
 
Back
Top Bottom