Salim Abdallah, soma alama za nyakati, hautakiwi tena hapo Simba

Salim Abdallah, soma alama za nyakati, hautakiwi tena hapo Simba

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Huyu jamaa Salim Abdallah, (sipendi na sijawahi kumuita jina lake la utani) sijawahi kumuelewa toka nimeanza kufuatilia nyendo zake pale Simba.

Juzi baada ya sakata la kule Mwanza, inasemekana alitaka kuwachomesha Simba wenzake ili ndiyo waonekane wakosefu. Tunaojua mambo ya ndani ya Simba tunajua alikuwa analenga nini.

Leo Ahmed Ally amejitangaza ndiye mgeni rasmi katika mechi kubwa na muhimu ya CAFCC, heshima na fursa ambayo sidhani kama huyo mjumbe wa bodi aliwahi kupewa. Hii ni message tosha kwake, sent and delivered.

Salim hata afanye nini ajue hatakuja kurudi tena kamwe katika cheo kingine pale Simba, si cha CEO wala Mwenyekiti wa Bodi. Ningemshauri aachie ngazi tu ili aepuke aibu zingine ndogo ndogo zinazomsubiri huko mbeleni.
 
Akina Mwina kaduguda (simba wa yuda), Evance aveva, Godfrey Nyange (kaburu),Mzee kilomoni, Hanspope (RIP), Salim Abdalah, Mohamed Dewji, Gulam Dewji, Swedi Mkwabi, Murtaza Mangungu, Juma mkamia na wengine wengi nilikuwa nawakubali na nitaendelea kuwakubali.
 
Akina Mwina kaduguda (simba wa yuda), Evance aveva, Godfrey Nyange (kaburu),Mzee kilomoni, Hanspope (RIP), Salim Abdalah, Mohamed Dewji, Gulam Dewji, Swedi Mkwabi, Murtaza Mangungu, Juma mkamia na wengine wengi nilikuwa nawakubali na nitaendelea kuwakubali.
Nilikuwa nacheka sana enzi hizo Kitenge akimhoji Mwina Kaduguda
 
Nilikuwa nacheka sana enzi hizo Kitenge akimhoji Mwina Kaduguda
Kitenge aliwahi kumkasirisha Mangungu Kwa kumwambia "...nasikia wewe ni mwenyekiti wa vikao tu ndani ya ya simba". Mangungu akajibu Kwa hasira akisema " unajua watu wengi hawajui maana ya bodi ya wakurugenzi, wanadhani ni kitu kinachofanana na bodi ya gari au ya trekta.... "
 
Akina Mwina kaduguda (simba wa yuda), Evance aveva, Godfrey Nyange (kaburu),Mzee kilomoni, Hanspope (RIP), Salim Abdalah, Mohamed Dewji, Gulam Dewji, Swedi Mkwabi, Murtaza Mangungu, Juma mkamia na wengine wengi nilikuwa nawakubali na nitaendelea kuwakubali.
"MANYANG'ANYI YA SOKA"
 
Back
Top Bottom