Pre GE2025 Salim ASAS: Uongozi CCM umekuwa kama Mnada. Watu wanapandishiana Dau kwa Wajumbe Ili kuununua!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mnec wa Mkoa wa Iringa Komredi Salim ASAS amesema hapa tulipo Uongozi CCM umekuwa kama Mnada Watu wanapandishiana Dau kwa Wajumbe Ili kuununua

ASAS ameonya hali hii ikiachwa Iendelee itakivuruga chama na kukigawa kwa sababu ni Matajiri tu Ndio watakuwa Uongozini

ASAS amewataka Wanaccm wenzake kuikemea Hali hii kwa nguvu zote kwani wakizubaa Chama kitatekwa na wenye Fedha kwa manufaa yao binafsi

Credit: Kitenge Tv
 
Kasema ukweli, na watafanya higyo uchaguzi mkuu
 
Hao ndio wala kwa urefu wa kamba a.k.a marope.
 
Yeye mwenyewe amenunua uongozi na anafanya biashara haramu
 
Hilo ni kawaida sana kwa MaCCM mkuu. Sio jambo la kushangaza kwa MaCCM kununuana kama bidhaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…