johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kasema ukweli, na watafanya higyo uchaguzi mkuuMnec wa Mkoa wa Iringa Komredi Salim ASAS amesema hapa tulipo Uongozi CCM umekuwa kama Mnada Watu wanapandishiana Dau kwa Wajumbe Ili kuununua
ASAS ameonya hali hii ikiachwa Iendelee itakivuruga chama na kukigawa kwa sababu ni Matajiri tu Ndio watakuwa Uongozini
ASAS amewataka Wanaccm wenzake kuikemea Hali hii kwa nguvu zote kwani wakizubaa Chama kitatekwa na wenye Fedha kwa manufaa yao binafsi
Credit: Kitenge Tv
Hao ndio wala kwa urefu wa kamba a.k.a marope.Mnec wa Mkoa wa Iringa Komredi Salim ASAS amesema hapa tulipo Uongozi CCM umekuwa kama Mnada Watu wanapandishiana Dau kwa Wajumbe Ili kuununua
ASAS ameonya hali hii ikiachwa Iendelee itakivuruga chama na kukigawa kwa sababu ni Matajiri tu Ndio watakuwa Uongozini
ASAS amewataka Wanaccm wenzake kuikemea Hali hii kwa nguvu zote kwani wakizubaa Chama kitatekwa na wenye Fedha kwa manufaa yao binafsi
Credit: Kitenge Tv
πππππππ€£ππππAlikuwa hajui au anatuigizia!?
Yeye mwenyewe amenunua uongozi na anafanya biashara haramuMnec wa Mkoa wa Iringa Komredi Salim ASAS amesema hapa tulipo Uongozi CCM umekuwa kama Mnada Watu wanapandishiana Dau kwa Wajumbe Ili kuununua
ASAS ameonya hali hii ikiachwa Iendelee itakivuruga chama na kukigawa kwa sababu ni Matajiri tu Ndio watakuwa Uongozini
ASAS amewataka Wanaccm wenzake kuikemea Hali hii kwa nguvu zote kwani wakizubaa Chama kitatekwa na wenye Fedha kwa manufaa yao binafsi
Credit: Kitenge Tv
Yeye yupo hapo sababu ya rushwa ndani ya CCMAlikuwa hajui au anatuigizia!?
Salim aliombwa na Shujaa Magufuli kuingia Uongozini πYeye mwenyewe amenunua uongozi na anafanya biashara haramu
Si huwa kuna uchaguzi kwanini aombwe? ni rushwa ambayo alimchangia Magu 2015Salim aliombwa na Shujaa Magufuli kuingia Uongozini π
Kwani hapo Ufipa st Mbowe haombwi kuwa kama Mugabe? πSi huwa kuna uchaguzi kwanini aombwe? ni rushwa ambayo alimchangia Magu 2015
UWT lini mlichagua Mwenyekiti wa CCM taifa na aligombea na nani?Kwani hapo Ufipa st Mbowe haombwi kuwa kama Mugabe? π
Bila ya rushwa CCM hupati uongoziYeye gabacholi Asas ameshika hyo nafasi sababu ya fedha, Sasa anamlalamikia nani,? CCM HUWEZI KUITENGANISHA NA KUHONGA, UJAMBAZI PIA UCHAWI.
Hilo ni kawaida sana kwa MaCCM mkuu. Sio jambo la kushangaza kwa MaCCM kununuana kama bidhaa.Mnec wa Mkoa wa Iringa Komredi Salim ASAS amesema hapa tulipo Uongozi CCM umekuwa kama Mnada Watu wanapandishiana Dau kwa Wajumbe Ili kuununua
ASAS ameonya hali hii ikiachwa Iendelee itakivuruga chama na kukigawa kwa sababu ni Matajiri tu Ndio watakuwa Uongozini
ASAS amewataka Wanaccm wenzake kuikemea Hali hii kwa nguvu zote kwani wakizubaa Chama kitatekwa na wenye Fedha kwa manufaa yao binafsi
Credit: Kitenge Tv