Sallam alifanya nini mpaka akazuiwa kuwa anaingia marekani??

Muuza Unga mkubwa,alishawahi jilipua kule Sweden. Huyu mwarabu koko ni hodari wa biashara haramu.
 
Huko Brazil akienda akitua tu JNIA jamaa lazima wamdake
 
B anamsaidia J ulinzi, hasa Invisible Special Force (ISF) kupitia graduate wenye mafunzo makali kutoka Gamboshi, Call me jay ,Congo brazaville .nk
Nimeelewa kuwa Bashite ndiye anatafuta walinzi wa kumlinda kichawi bwana mkubwa. Udananda ndio umempa Bashite maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…