Huyo anaye host page ya block89 ni ndugu yake bashite!marejani ndio wapi!!!!
Ndio maana anamjengo hatari eeehMuuza Unga mkubwa,alishawahi jilipua kule Sweden. Huyu mwarabu koko ni hodari wa biashara haramu.
John ni ndugu wa Bashite ?Huyo anaye host page ya block89 ni ndugu yake bashite!
John ni ndugu wa Bashite ?
Nimeelewa kuwa Bashite ndiye anatafuta walinzi wa kumlinda kichawi bwana mkubwa. Udananda ndio umempa Bashite maisha.B anamsaidia J ulinzi, hasa Invisible Special Force (ISF) kupitia graduate wenye mafunzo makali kutoka Gamboshi, Call me jay ,Congo brazaville .nk
weka chumvi babu tafuna tuu yatapitaKuna matango poli humu khaa
Tiot hii sheli ya mafutaYes Congo. Madogo wengi hammjui Sallam, nakupa homework tafuta sababu ya Melei Balhaboo kufulia na kampuni yao ya TIOT. Sallam was there!
Ebu tudokeze kaka si swala la kujua tu pia kunakujifunza kitu nazan soon namie naenda hukoWeka mkuu
Mwenyewe nilikuwa nataka kujua kutoka kwa jamaa labda tusubirie majibu mkuuEbu tudokeze kaka si swala la kujua tu pia kunakujifunza kitu nazan soon namie naenda huko