Sallam athibitisha Harmonize kujiondoa WCB

Mkuu,, maisha Ni hatua bana,,, we ulitaka akar wcb Hadi afe,,[emoji846],,, anaenda kutafuta changamoto mpya,,, harafu WCB Ni wanyonyaji Sana wale wazee wakina babu fela wote wanata kula palepale,,,
Mi bado namuamini konde boy,,,
 
Hata mavoko alionyesha uthubutu mkampongeza, kiko wapi?
 
Hizo style zinazochezwa kwenye hizo videos ulizotaja mbona video kibao za Nigeria wanazitumia kabla hata ya mwaka jana. Diamond kazichukua tu kazi-compile... Huyo unayesema kazivumbua mwambie akuambiye tena.
Ngedere wewe
 
Rayvan huyu huyu ambae baby mama wake alituambia wanatumia mil. 9 kwa photoshoot?
Yale maisha ya Instagram achana nayo , nenda kwenye account yake ya Instagram mwambie ule mchango Wa harusi alioahidi kutoka million 3 alitoa ?? Na rayvan alimchangia shilling ngapi ??


Akikujibu uje hapa kuleta mrejesho
 
Wabongo ndomana hatuendelei, wenzetu mwanamuziki unaweza kua ndani ya label hadi 3 tofauti. Kwa uwezo alionao harmo sio mtu wa kua chini ya jembe, Harmo alitakiwa awe na label yake binafsi huku analegeza terms na wasafi. Eminem yupo na label 4 tofauti, yupo na Dre, yupo na 50, yupo label yake binafsi ( shady ) pia yupo label ya kjijini kwao Detroit. Harmo angeanzisha label yake huku anaendelea kufanya kazi na wasafi. Muziki mgumu sana ukiukosea, harmo anaweza kuajiri hata vijana watano wenye njaa wakamsaidia shows na kuikuza label, lakini mbongo ni mbongo tu. Jembe ni Jembe hawezi kukubali kupata hasara, miaka 2 mingi watapigana chini. Asingetoka wasafi, angebadilisha terms tu halafu akafungua label yake ili afanye anavyotaka yeye bila kubugudhiwa na mtu.
 
Harmo sio msanii wa kipaji ni msanii wa promo sijui km analijua ili ,ila awe makini sana MR NICE,
 
Labda ile ya kuingia USA alipokwama kwa visa kulikuwa na mambo nyuma ya hilo sakata
 
[emoji38][emoji38][emoji38]Vipi sikuhizi umehama Team Kiba?
 
Mi namtakia mmakonde kila la kheri kwenye maisha yake mapya nje ya WCB, ila ajue kwamba safari aliyoianza sio rahisi, apambane sana tusije tukamcheka huko mbeleni
 
Du hizi picha za insta zinatuchanganya sana
 
Hongera zako Konde..mi naamin ye ni mtu mzima na anaijua vema hiyo WCB kuliko sisi wa nje. Matter of fact yeye ndo anaejua nini anakitaka na wakati gani. Tusijipe kazi ya ulozi kuanza kumtabiria kesho yake, kikubwa ni vema kumuombea (kama brother) ili mambo yake yaende kama abavyopanga, au kama huwez kaa tu kimya.
 
Label ziko nyingi mimi nlijua labda amesign label ya nje ambayo ingembeba zaidi ya wcb.tuwe wakweli jembe hawezi kumjenga kumziki mana hajawahi kumsimamia msanii yeyote kimuziki,yetu macho na masikio tutaona yajayo
Noorah kipindi yupo na hit ya ice cream alikuwa chini ya jembe ni jembe
 
Jembe hatokula hela ya mmakonde anatembea nae tu
 
Hao Kina Tale ni wasanii gani waliwasimamia wakatoka?
Label ziko nyingi mimi nlijua labda amesign label ya nje ambayo ingembeba zaidi ya wcb.tuwe wakweli jembe hawezi kumjenga kumziki mana hajawahi kumsimamia msanii yeyote kimuziki,yetu macho na masikio tutaona yajayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…