Kifupi Sallam SK.. ni mtu wakukunja sana nae hujiona kama ndie godfather wamuziki wetu.Alafu kuna watu walikuwa wanamsema ohh
Ruge mnyonyaji wa wasanii
Ova
Jamaa anajifanya suge knight fulaniKifupi Sallam SK.. ni mtu wakukunja sana nae hujiona kama ndie godfather wamuziki wetu.
Yuko very arrogant
Jamaa Ani mikato flani ya kishamba ingawa kaishi mbele, roho flani hivi nyeusiJamaa anajifanya suge knight fulani
Anajifanya kama mziki ndiyo anaumiliki yeye
Ova
Jamaa anakunja sanaJamaa Ani mikato flani ya kishamba ingawa kaishi mbele, roho flani hivi nyeusi
Mziki wwnyewe wameudandia alafu wanajifanya wanaujua mzikiJamaa Ani mikato flani ya kishamba ingawa kaishi mbele, roho flani hivi nyeusi
Inasemekana pia XXL wanajisema wao ndo walifanikisha hii Colabo wakati Nikki mwenyewe anasema Nikki ndo mpango mzima! Sasa sielewi
Alafu kuna watu walikuwa wanamsema ohh
Ruge mnyonyaji wa wasanii
Ova
Daaah Yani watu vitasa vipo tayar tayarCollabo kafanya na A.K.A lakini impact yake ni kama kafanya na manfongo
Bongo maslahi wanakunjiana mpaka wenyewe kwa wenyewe,wanaija hawanaga hizokwenye maslahi bro hakuna kuleta hisia. Diamond alilalamika sana kupigwa vita na kukunjiwa lakini leo kashika spotlight na yeye anawakunjia wenzake, ni business tu mkuu mtu analinda maslahi yake japo ukienda naija naona huu ujinga washaachana nao ndio maana unakuta wana top artists kibao, ila kwetu sasa
Tupo hivyo ndio maana wanaija wamesambaa duniani hawakunjiani kwenye fursa ila sisi sasa mkuu, Labda tutakuja kubadilikaBongo maslahi wanakunjiana mpaka wenyewe kwa wenyewe,wanaija hawanaga hizo
Ova