kwenye avatar ni weweHivi mpaka Leo Kuna watu Wana muda wa kufuatilia Mambo ya watu wengine.... Mambo ambayo hayawaongezei chochote Cha maana katika maisha yao. Dahh!!! Very Sad.
Hivi mpaka Leo Kuna watu Wana muda wa kufuatilia Mambo ya watu wengine.... Mambo ambayo hayawaongezei chochote Cha maana katika maisha yao. Dahh!!! Very Sad.
tuyape muda maamuzi yake, then muda utazungumzaHuyo anausika na mambo ya tansia ya habari ya entertainment especially kwenye redio
hahaahaha unateseka sana mkuu, nimeliona na nitalizungumziaMzee wa Maono ya hovyo hovyo hili hajaliona..
We mbona umesoma uzi away wengine hayo pia ni mambo yao.je kuchangia huku ulikofanya kumekuongezea chochoteHivi mpaka Leo Kuna watu Wana muda wa kufuatilia Mambo ya watu wengine.... Mambo ambayo hayawaongezei chochote Cha maana katika maisha yao. Dahh!!! Very Sad.
Huyo ana kuchokoza wakati yeye humu jamvini anajulikana Kama msema hovyo,mkurupukaji na asiye na hojahahaahaha unateseka sana mkuu, nimeliona na nitalizungumzia
Kama zipi na nionesheNakuona kuna muda unatetea hadi pumba za WCB.
Kama hulipwi kwa hiyo kazi, jitathmini.
Hata wewe unafuatilia mambo ya watu ndio maana umefungua uzi kuchangia.Hivi mpaka Leo Kuna watu Wana muda wa kufuatilia Mambo ya watu wengine.... Mambo ambayo hayawaongezei chochote Cha maana katika maisha yao. Dahh!!! Very Sad.
Ila anakaa kwenye mghorofa wake sio mkodishoMe ni mmoja wa fan wa kiba kwenye mziki wake sema anakiangusha nje ya mziki wake kwenye kipaji namzungumzia vizuri nje hapo simzungumzii vizuri kwa sababu Hana vitu vizuri vya kumzungumzia ikiwemo hajui kujibrand n.k
kuongelewa vizuri ni mpaka siku ya kuzikwa..Kwanza huyu Meneja uchwara ni Mkuda Kila aliyeondoka pale WCB anamuongelea Jamaa kwa Ubaya hakuna aliyewai kumuongelea kwa Uzuri
Unavizia uokotezeokoteze maoni ya Watu ndo uyalete humu..hahaahaha unateseka sana mkuu, nimeliona na nitalizungumzia
Celebrities forum sio kwa ajili ya watu wa kawaida...hapa haongelewi mtu ambaye jamii hawamjui..tofautisha na kuongelea mtu wa kawaida au umepotea njia..hadi watu wenye IQ 170 wanafuatilia wewe utakuwa na wivu na chuki ndio inayokusumbua...YOU NEED A HUGKuna watu ndiyo raha yao kufuatutilia maisha ya watu,ndiyo maana magazeti ya udaku yanauza sana
Kutokana na jina alilojenga alitakiwa awe na ambassador wa kampuni nyingi awe na label kubwa ya mziki, wimbo anatoa mpaka umwombe hiv ndio vitu vinavyomwangusha kimziki jamaa hajachangamka kabisa Kama akina diamond hata Harmonize kidogo kachangamka sijui Kiba ana tatizo gani Kama kipaji anacho tu Tena kikubwaIla anakaa kwenye mghorofa wake sio mkodisho
Yuko naJoho acha kabisaKutokana na jina alilojenga alitakiwa awe na ambassador wa kampuni nyingi awe na label kubwa ya mziki, wimbo anatoa mpaka umwombe hiv ndio vitu vinavyomwangusha kimziki jamaa hajachangamka kabisa Kama akina diamond hata Harmonize kidogo kachangamka sijui Kiba ana tatizo gani Kama kipaji anacho tu Tena kikubwa
alijaribu Mofaya ikamkata nyengo,akamfukuza meneja Seven bado mambo yamemtia gunzi kunako,life needs kuchakalika.Kutokana na jina alilojenga alitakiwa awe na ambassador wa kampuni nyingi awe na label kubwa ya mziki, wimbo anatoa mpaka umwombe hiv ndio vitu vinavyomwangusha kimziki jamaa hajachangamka kabisa Kama akina diamond hata Harmonize kidogo kachangamka sijui Kiba ana tatizo gani Kama kipaji anacho tu Tena kikubwa
Huwezi ukamtegemea joho maisha yako yote ndomaana hata sisi tunalelewa na wazazi wetu ikifika time na sisi tunajitegemea.Yuko naJoho acha kabisa
ahahahaAlikiba tv ipo mbona DSTV, ila hapend show off huwez kuiona anaangalia mwenyewe
Huwezi ukamtegemea joho maisha yako yote ndomaana hata sisi tunalelewa na wazazi wetu ikifika time na sisi tunajitegemea.
Kwa io jamas anasaidiana na Ommy Dimpoz ?Joho ndio Ali Kiba na Ali Kiba ndio Joho, sema hawawezi kuweka mambo yao hadharani tu, hizo show off kamwachia Diamond