MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Hivi mpaka Leo Kuna watu Wana muda wa kufuatilia Mambo ya watu wengine.... Mambo ambayo hayawaongezei chochote Cha maana katika maisha yao. Dahh!!! Very Sad.
Nikukosa kazi kufuatilia maisha ya mtu wakati yako tu yanakushinda.Celebrities forum sio kwa ajili ya watu wa kawaida...hapa haongelewi mtu ambaye jamii hawamjui..tofautisha na kuongelea mtu wa kawaida au umepotea njia..hadi watu wenye IQ 170 wanafuatilia wewe utakuwa na wivu na chuki ndio inayokusumbua...YOU NEED A HUG
100%Mara nyingi huwa ni kinyume chake.
Ukiona watu wsnakuongelea vibaya ujue huyo mtu hana utani na kazi.
Na watanzania ukiwabana na kukataa uzembe utaona wakilalamika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa comment yako tu nawe umejiingiza humo bora ungepita kimyaHivi mpaka Leo Kuna watu Wana muda wa kufuatilia Mambo ya watu wengine.... Mambo ambayo hayawaongezei chochote Cha maana katika maisha yao. Dahh!!! Very Sad.
Wanatafuta attention kivipi?kwani taarifa ya yeye kuachana na mondi alitoa yeye au aliyeneza yeye au blog mbalimbali na page za udaku zimeandika ikiwemo member wa humu jamiiforumWanatafuta attention tu hao.
Haswaaaaa..... Ndio mie Msweet huyooooo kwenye picha.
Ya kweli hayo au unatudanganya?Haswaaaaa..... Ndio mie Msweet huyooooo kwenye picha.
Msamehe bure huyo kijana. 2014 alikuwa form one so hana alijualo.Hawazungumzie [emoji3582]
Awazungumzie[emoji3581]
Huyu ukute ni kijana yuko chuo au kamaliza chuo na ana degree yake kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Attention please
Walifanya hivyo wakijua watu watapata tafsiri hoyo waliyoilisudia kama ilivyoenezwaWanatafuta attention kivipi?kwani taarifa ya yeye kuachana na mondi alitoa yeye au aliyeneza yeye au blog mbalimbali na page za udaku zimeandika ikiwemo member wa humu jamiiforum
Sallam alifuta email ya booking kutokana na kipindi hiki Cha Corona Kama ingekuwa anataka attention angefanya before ya Corona sema kutokana na watu kutafuta habari ya kuuza ndo wakaandika kwenye magazeti, blogs na page za udaku ila kwa kutumia logic ya kawaida unajua hilo.Walifanya hivyo wakijua watu watapata tafsiri hoyo waliyoilisudia kama ilivyoenezwa