khomgodlove
Member
- Nov 17, 2018
- 33
- 22
Hauna ruhusa ya kumpenda mtu mwingine zaidi yangu. Unatakiwa unipende mimi tu. Usinifanye nijiingize kwenye ushirikina babe.Sally naomba nakupenda
Basi mama chanja zilikuwa ni pombe tuHauna ruhusa ya kumpenda mtu mwingine zaidi yangu. Unatakiwa unipende mimi tu. Usinifanye nijiingize kwenye ushirikina babe.
Sikorogi honey, ila baki na mimi tu.Basi mama chanja zilikuwa ni pombe tu
Siwezi kumchukua kigagula huyo
Usiniroge maana kazini kwenyewe wananiroga..
Wewe tu ndio umeuteka moyo wangu
Wasije wakasikia watu.