Elections 2010 Salma asikitishwa nakuangushwa Mwantumu

Elections 2010 Salma asikitishwa nakuangushwa Mwantumu

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
Katika gazeti la Mtanzania 21/09/2010 imeandikwa kwamba Mama Salma amesikitishwa na kuangushwa kwa Mwantumu Mahiza, Naibu Waziri wa elimu. Kwenye Majira 21/09/2010 Mama Salma anasema kuwa WAMA Foundation inapeleka watoto watano (5) yatima shule na kwenye vyuo mbalimbali kutoka katika kila mkoa. Hivi hizo fadha za kupeleka hawa watoto sio zilikuwa zinatoka wizara ya elimu kwa msukumo wa Mwantumu kweli kinyume na sheria? Unasikitika vipi kwa Mwantumu kutogombea kama hakuna maslahi binafsi? Si umwambie JK kama akishinda amteue mbunge?
 
Katika gazeti la Mtanzania 21/09/2010 imeandikwa kwamba Mama Salma amesikitishwa na kuangushwa kwa Mwantumu Mahiza, Naibu Waziri wa elimu. Kwenye Majira 21/09/2010 Mama Salma anasema kuwa WAMA Foundation inapeleka watoto watano (5) yatima shule na kwenye vyuo mbalimbali kutoka katika kila mkoa. Hivi hizo fadha za kupeleka hawa watoto sio zilikuwa zinatoka wizara ya elimu kwa msukumo wa Mwantumu kweli kinyume na sheria? Unasikitika vipi kwa Mwantumu kutogombea kama hakuna maslahi binafsi? Si umwambie JK kama akishinda amteue mbunge?
kweli kama ameumia kwa kuangushwa Mwantumu,amwambie mumewe kama atashinda uraisi amteue mbunge!
 
Ameshamwekea nafasi yake ya kuteuliwa kuwa mbunge na ampe uwaziri. Maana baraza la mawaziri linapangwa na JK, Ridhiwani na mama Salma kabla halijajadiliwa na washauri wa karibu wa raisi. Kama una bifu na Ridhiwani au mama Salma sahau kuwa kiongozi kipindi hiki. SI mmeona yaliyompata Masauni, Bashe etc
 
Back
Top Bottom