Salma Dakota wa TBC rasmi amejiunga na Wasafi Media

Salma Dakota wa TBC rasmi amejiunga na Wasafi Media

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Wasafi Media a.k.a Real Madrid wa media wamemsaini rasmi mtangazaji aliyekuwa anatangaza TBC Salma Dakota baada ya kufikiana makubaliano kwa pande zote mbili.

Jana Salma Dakota ameaga uongozi wa TBC na wafanyakazi wote nakutoa shukrani zake zote kwa kipindi chake chote alichokuwa anafanya kazi hapo.Wasafi wamempa kipindi Cha asubuhi ambacho atakuwa anatangaza kuanzia saa 11 mpaka saa 2.

Salma Dakota afunga pia amepokelewa vizuri na wadau wengi nakumpongeza kwa kitendo Cha kuamia wasafi na hiyo amechukua Kama changamoto yakuongeza ufanisi ili kazi yake aifanye vizuri na kwa ubunifu mkubwa.
 
Wasafi Media a.k.a Real Madrid wa media wamemsaini rasmi mtangazaji aliyekuwa anatangaza TBC Salma Dakota baada ya kufikiana makubaliano kwa pande zote mbili.

Jana Salma Dakota ameaga uongozi wa TBC na wafanyakazi wote nakutoa shukrani zake zote kwa kipindi chake chote alichokuwa anafanya kazi hapo.Wasafi wamempa kipindi Cha asubuhi ambacho atakuwa anatangaza kuanzia saa 11 mpaka saa 2.

Salma Dakota afunga pia amepokelewa vizuri na wadau wengi nakumpongeza kwa kitendo Cha kuamia wasafi na hiyo amechukua Kama changamoto yakuongeza ufanisi ili kazi yake aifanye vizuri na kwa ubunifu mkubwa.


FREDWAA Nae bado hawaja msajili..?
 
Kwani wana undugu na Hamis Dakota wa clouds?
 
Shukrani

Maana huyu dada nahisi alianzia times au radio uhuru kutangaza
Kwa mujibu wake amesema aliwahikufanya kazi radio uhuru pia amefanya kazi radio free Africa.Kati ya hizo mbili yaani radio free Africa au radio uhuru ndo atakuwa ameanzia
 
Back
Top Bottom