Salma kikwete na mafuta ya Papa!

Msongoru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2008
Posts
306
Reaction score
24
Kuna mtu kanidokezea kwamba mama yetu wa kwanza naye alijitosa usiku mrefu ufukweni mwa bahari ili kujipatia mafuta ya yule papa aliyefia ufukweni wiki ilopita. Inasemekana ni dawa nzuri kwao!!!! Hii nayo imekaaje jamani?
 
Jamani naye si mtu tu kama walivyo wenfgine, naye ana belief zake kama binadamu mwingine yeyote, lakini je ndo kusema alikosa mtu wa kumfatia hayo mafuta hata aende mwenyewe usiku mkubwa au ni uzushi tu?
 
Labda nae ana ndoto kuja kuwa.......................kwao Lindi huko
 
Kuna mtu kanidokezea kwamba mama yetu wa kwanza naye alijitosa usiku mrefu ufukweni mwa bahari ili kujipatia mafuta ya yule papa aliyefia ufukweni wiki ilopita. Inasemekana ni dawa nzuri kwao!!!! Hii nayo imekaaje jamani?
...Mlimuona akienda kuchukua hayo mafuta ya papa huko baharini usiku au ndio mambo ya radio mbao?????
 
duh......hii udaku.
Vp alienda na escot ya magari mangapi???
 
duh......hii udaku.
Vp alienda na escot ya magari mangapi???
...Yaelekea hata wao walikuwa wanafata hayo mafuta ya papa....kama ni usiku mnene walimuonaje kama na wao hawakuwa katika pilika hizo?????
 
Hivi JF ule ukumbi wa nyepesinyepesi utarudi lini?
 
ukisikia upotoshaji ndio huu sasa!!!!!mnazusha mpaka mnajisahau,ni kwamba umekosa la kuandika au?????????
 
Yoye yanawezekana....viongozi wetu inajulikana kuwa ni vigagula angalia wakati wa uchaguzi ruti za bagamoyo zinzvyoongezeka....na mzee wa vijisenti kumwaga unga unga bungeni au?
 
naona umekosa cha kuandika!!!umbea wa kijinga sana huu!!!!uzushi usiokuwa na maana,kama hauna kazi nenda kasafishe mazingira yanayokuzunguka maana machafu
 
Kwani hayo mafuta ya papa yanasaidia nini? naona niko kwenye giza nene!
 
Taarifa hiyo haina tofauti na taarifa zahivi karibuni za Mtikila. Total Rubbish.
 
....mnatuharibia jf yetu jamani na habari zenu za kizushi......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…