Salma Kikwete: Ni nani?

Nadhani huyu mama kwao ni Singida kama sikosei!

ni kweli kwao ni lindi ila babake mzee Rashid (wanamwita Kawawa wanashabihiana kwa urefu na marehem) anakaa rufiji villa ya Tibaigana unaingia kulia kama unatoka dar km kama 8 hivi. Bibi yake salma ni wa iringa mhehe na babu yake ni mshirazi so sgd usipakazie mkuu
 

Acha uongo usio na musingi. Haki ya Kikatiba ameipata wapi? Unayo katiba yetu? kama huna sema tukutumie na utuonyeshe ni wapi mke wa Rais katajwa na kupewa haki na majukumu.

Huu ni udhaifu wa nchi kiasi kwamba mama huyu sasa naye anawafokea watendaji wa Serikali na kutoa maagizo.

Hapo nyuma tuliwahi kueleza jambo hili na kuonyesha wazi kwamba yaonekana hata mumewe hana control naye. Anafikia hatua Waziri anamuwakilisha mke wa Rais! STUPIDITY!

Ukiliangalia kwa undani jambo hili, utaona ni kwa sababu ya madaraka na immunity aliyopewa Rais. Hayo yanawafanya baadhi ya watu wanaowinda favour kuwatukuza watu walio karibu na Rais. Wajomba, mashemeji, vimada na hata vimada vya marafiki wa Rais, wote utawaona walifanya mambo mengi kwa authority.

Mke wa Rais kulindwa ni halali lakini siyo kutoa maagizo ya kiutendaji, kila wakati akiwa safarini. Hata hivyo mtu kama huyu ni rahisi kutoa magizo yaliyopinda.
 
Mie nataka kujua pia hapa jana nimeona Mkuu wa Mkoa wa Mara akisoma Risala mbele ya mama Salma nikajiuliza maswali mengi kichwani bila majibu
Kwani anakazi gani katika nchi mpaka asomewe hiyo Risala ?

First Lady wewe kweli mkali ... yaani Mkuu wa Mkoa anakusomea risala?
 
kama si mpenda sifa kwanini akiwa kwenye ziara anatoa maagizo kama mtu mwenye mamlaka..
mama Kikwete ni kama mama mwingine yoyote mwimba taarabu.

mhh sallalaaaa kopa, mashuzi, or sabahi kikwete?
 
Mie nataka kujua pia hapa jana nimeona Mkuu wa Mkoa wa Mara akisoma Risala mbele ya mama Salma nikajiuliza maswali mengi kichwani bila majibu
Kwani anakazi gani katika nchi mpaka asomewe hiyo Risala ?
First lady jamani mie naona nikuulize wewe kwa nini wajina wako anafanya hivyo jamani? Talk to her please first lady she will hear you...
 
Mama huyu anatafuta cheo serikalini katika awamu hii ya pili. Namshauri abakie na ujasiriamali kwani unamfaa.
 
Hi guys

Binafsi nadhani kama anachokifanya kina manufaa kwa taifa la tanzania sidhani kama kuna tatizo, no matter who she is!

Kuna wabunge na mawaziri wengi tu wanatakiwa kufanya kazi za maendeleo lkn ni rubish tu.

Wanasema;

Great Minds Discuss Ideas;
Average Minds Discuss Events;
Small Minds Discuss People.

Tuache kumdiscuss mama salma kama yeye tuangalie ni maendeleo gani anayafanya kwa taifa.

Hizi ni views zangu tu!


Regards
 
Huenda aliapa hivi
Mimi Salma Jakaya Kikwete naapa nitaitumikia Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika cheo cha Fisrt Lady kwa nguvu zangu zote, ee Mungu nisaidie.
Mimi Salma Jakaya Kikwete naapa nitakuwa mtiifu kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na sitatoa siri za baraza la nyumbani, ee Mungu nisaidie.
halafu buluji zinapulizwa
 
Asipewe taarifa ya Maendeleo ya eneo husika maana hataifanyia kazi. Viongozi wetu (maDC, maRC na wengineo) wanapenda kujionyesha kwa mkubwa wao. Hivi mama akija wilayani au mkoani kwako halafu umbanie kesho utakuwa na madaraka hayo? Wanajua sio sahihi lakini wafanyaje?? labda wa kwanza ajitokeze afie wengine
 
Mmh anafuata nyayo za mama Lucy Kibaki wa Kenya,ole wako umuuzi kibarua kinaota nyasi siku hiyo hiyo na kama tunavyojua hapa TZ hatuna viongozi jasiri wanaoweza kuhoji wote ni wapiga filimbi wa Hamelini
 
Mmh anafuata nyayo za mama Lucy Kibaki wa Kenya,ole wako umuuzi kibarua kinaota nyasi siku hiyo hiyo na kama tunavyojua hapa TZ hatuna viongozi jasiri wanaoweza kuhoji wote ni wapiga filimbi wa Hamelini

Huyu ndio Lucy Kibaki.
 
Mkoa wa Mara, unapata shida ya kuendelea pamoja na historia kubwa iliyo nayo, shida mojawapo ni kupata mkuu wa mkoa wenye sifa stahili ya kuwa mkuu wa mkoa.

Mfano dhahiri wa ombwe la uongozi katika mkoa wa Mara ni aina ya RC aliye madarakani. How on earth ... Mkuu wa mkuu wa mkoa anasoma taarifa kwa First Lady... Inamaanisha huyu RC hajui anawajibika kwa nani!!

Kwa vile First Lady, anaishi nyumba moja moja na mkuu wa kaya, anafikiri kuwa First Lady ni sahihi kupokea taarifa na ataifikisha kwa mkuu wa kaya..... haa haaa. Hii inanikumbusha Lucy Kibaki , anavyowaingilia na hata kuwapiga vibao watendaji wasiojitambua kule Kenya. Huyu mkuu wa mkoa ni aina ya viongozi ambao mke wa kiongozi anaweza akawafanya lolote, kwani ni watupu! tupu! tupu!

Hebu sikiliza alichosema huyu First Lady, anawambia watu wa Tarime waache kuoa wake wengi!!! Ndiyo maana alihitaji ulinzi wa FFU, kwani alikuwa anasema mambo ambayo si kipaumbele kabisa cha watu wa Tarime.
Inamaanisha, huyu First Lady hajui shida zinazowakabili wana Tarime?

Angekuwa First Lady makini na kutumia taasisi yake ya WAMA, angegusia ukosefu wa maendeleo unaotokana na wamama wa Tarime kufukuzwa katika maeneo yao ya ardhi kwa kupisha shughuli za uchimbaji mkubwa wa madini, ukosefu wa amani na jinsi mambo haya yanamwathiri mwanamke wa Tarime. Hawa wamama , wanahitaji msemaji na mtu ambaye anatambua matatizo yao.

Matatizo yao ni kukosa ajira, shughuli endelevu na yeye angewapa moyo na jinsi gani taasisi yake inaleta jambo la faraja au nuru mpya kwao. Lakini First Lady , wetu amefikiri kama mwanasiasa wa kitanzania, ambao huwa hawana lolote la kusema , bali kusema chochote alimradi kasema.

Kama Salma anapinga kuoa wake wengi je anaupinga uislam? Je mbona na yeye yupo katika ndoa ya wake wengi????
 
its an insane!!kumbe tuko wengi ambao hatuelewi mipaka ya uyu mama kwa serikali ya JK,ivi kwanini hatuambiwi na viongozi husika izo gharama ni za mlipa kodi,wafanyabiasahra,NGO yake nk???inanisumbua sana maana najua kikatiba HANA ayo mamlaka ata chembe ya kupewa izo hotuba na kubughudhi ratiba za kazi za kujenga nchi yetu kwa hao watendaji tuliowachagua watutumikie sisi.Tumeingiliwa na vituko vya viongozi na hakuna hata kiongozi mmoja anayeweza kuhoji uhalali wa uyu mama kutalii ivo!ata waziri mkuu nae hola
i hate this😡
 


kweli,ni shida ya kuwa mwalimu bila elimu
ana kichwa hakijatulia kabisaaa,si unajua maskini akipata?au limbukeni akipata?
yaani ni wa kuombea tu uyu mtu maana ukiwaza sana hata hujui umuweke kundi gani anatia aibu SANA
 

Wewe unawaita watu wa Mara kuwa hawana akili!!!!!! Sasa subiri wajue unakoishi, nakwambia mtachinjwa familia yenu nzima siku si nyingi. Mara hii umeshasahau yaliyotokea Musoma na Tarime !!! Ohoooo, shauri yako mimi simo kabisa kuwa shahidi yako. Si ni sambi sako mwenyewe !!!!
 
kweli,ni shida ya kuwa mwalimu bila elimu
ana kichwa hakijatulia kabisaaa,si unajua maskini akipata?au limbukeni akipata?
yaani ni wa kuombea tu uyu mtu maana ukiwaza sana hata hujui umuweke kundi gani anatia aibu SANA


Jamani tuongee lakini tusivuke mipaka, Sisi ndio tutaonekana wajinga.
 
What about this definition from US



First Lady of the United States is the title of the hostess of the [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/White_House"]White House[/ame]. Because this position is traditionally filled by the wife of the [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/President_of_the_United_States"]President of the United States[/ame], the title is most often applied to the wife of a sitting president. However, several women who were not presidents' wives have served as first lady, as when the president was a bachelor or widower, or when the wife of the president was unable to fulfill the duties of the first lady herself. In these cases, the position has been filled by a female relative or friend of the president.
 

Huwa hawachinji watu baki....ni wao kwa wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…